Ndo nashangaa kazisumbuaje sijui 🤣Ila jamani kusema kweli kabisa Sauli basi zake zote zinakimbia sana,Uyo jamaa atakuwa kabahatisha tu siku iyo
Ndo nashangaa kazisumbuaje sijui 🤣Ila jamani kusema kweli kabisa Sauli basi zake zote zinakimbia sana,Uyo jamaa atakuwa kabahatisha tu siku iyo
Mbona mim nikijaribu kuvaa napunguza uwezo wa kuona,cha ajabu kuna watu wanavaa miwan ya rangi mpaka usikuMi navaa sana ile ya solar polarization
Ina maana hata usiku unavaa!,usiku ndo huwa nawashangaa zaidiVizuri tu hasa zile za kubalance mwanga ikiwemo spotlight Ili usiingie mtaroni
Zile ni masaa yote usiku na mchana check zinavyokuwa usikuIna maana hata usiku unavaa!,usiku ndo huwa nawashangaa zaidi
Kibongo bongo zinauzwa shiling ngap na mim nijaribu kuzinunua
Huo moto nilipanda kabla ya Ving'amuzi kaa mbali na watoto.Tulifika Arusha watu wakagoma kushuka..Nina Uhakika is ingekuwa Ving'amuzi Coast Line angeshauwa Sana .. Vile vigari bodi Nyembamba Arusha - Kigoma Ni Balaaa... Vinateleza Kama nyoka...
Elf 45Ki
Kibongo bongo zinauzwa shiling ngap na mim nijaribu kuzinunua
🤣🤣🤣🤣 Kwanini Mkuu?? Zamani Saa nne au tano Usiku Ushaingia ArushaHuo moto nilipanda kabla ya Ving'amuzi kaa mbali na watoto.Tulifika Arusha watu wakagoma kushuka..
Hapana mkuu mi shazoeaMbona mim nikijaribu kuvaa napunguza uwezo wa kuona,cha ajabu kuna watu wanavaa miwan ya rangi mpaka usiku
Hii bei gani?
Kwann mkuu?Nimecheka sana
45 elfHii bei gani?
Nistue niongeze nyingineElf 45
Nipe namba PM45 elf