Waubani Linyama, dereva wa basi ambaye picha yake ina-trend mtandaoni kwa sasa

Siku hizi hakuna basi zinazotembea...

Mabasi ya huko kusini yalikuwa yanatembea enzi za kina Kiswele, Kwacha, Matema, Hood...Kiswele huyu ashawahi fika Dar saa saba mchana toka Mbeya/Kyela (enzi hizo stendi zipo town)

Kidogo na juzi juzi hapa walipokuja kina Happy Nations, Nganga na wale Majinjah, sijui hali zao siku hizi zipoje...mara ya mwisho Happy Nation kuipanda ile ya Tunduma-Dar ilifika Dar saa tisa kasoro hivi alasiri
Sauti ya manka ishakufa sasa ana higer ndio zaenda huko
 
Mjomba unajua hio engine ya cummins watu wanaichukulia poa sana ila huyo ni mmarekani halisi hizo engine zipo kwenye magenerator makubwa i.e FGwilson, hata engine za meli zingine ni Cummins Service Kit zake ime Major Service Kit zinafika USD 15,000
upo sahihi. hata boat ya bakheresa kilimanjaro seven inatumia engine ya cummins.

bus aina ya higer, zinatumia engine ya cummins.
 
Kimeumanaaaaah tena?
Keshakua maarufu wanataka.kumuona tu
FB_IMG_1626761886074.jpg
 
Katoka leo anaenda Tunduma apo 11:21 out kashatoka aljazeera toka Dar bado anayaswaga mabehewa ya Sauli


Acha kbsa L360 Cummins hii 95 F310 (Sauli) hawezi kufata huu moto

Siku ya 6 hii leo wanavutwa tokea Dar to uyole mbeya

Asa Mkuu kuna ile ya ostadhi Rama 711
 
41 Reactions
Reply
Back
Top Bottom