Watz wametoka kumuona messi(magufuli) sasa wanamuona Yamal (SSH)

Watz wametoka kumuona messi(magufuli) sasa wanamuona Yamal (SSH)

french

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2017
Posts
3,636
Reaction score
3,833
Mashabiki ambao ni wananchi wametoka kumuona messi ambae ni magu, sasa timu imetafuta mchezaji mbaye ata cover nafasi ya messi amepatikana yamal (ssh). Sasa huyu Yamal sio mbaya lakini mashabiki/wananchi kila wakijaribu ku compare hawa wachezaji hawamuelewi Yamal. Kwa kifupi kivuli cha messi bado kinatawala kwenye timu hii.
 
IMG_7122.jpeg
 
Yamal akihamia Madrid hao mashabiki watakuja kusadiki na kujutia ushabiki maandazi!!
 
This system is corrupt when it is strictly profit driven and not driven to serve the best interests of its people...☹️
 
Mashabiki ambao ni wananchi wametoka kumuona messi ambae ni magu, sasa timu imetafuta mchezaji mbaye ata cover nafasi ya messi amepatikana yamal (ssh). Sasa huyu Yamal sio mbaya lakini mashabiki/wananchi kila wakijaribu ku compare hawa wachezaji hawamuelewi Yamal. Kwa kifupi kivuli cha messi bado kinatawala kwenye timu hii.
Politics in football labguage
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom