Kuna taarifa zilishawahi kuripotiwa kuwa huyu Chinga Membe eti anaandaliwa kunyakua kiti kikuu cha Magogoni pale Feri, 2015 . Hapo ndipo CCM ninapowakubali ..wanakata mti wanapanda mti..lolMembe alisema pamoja na kwamba, serikali kumlipia madeni Mongella siyo kosa wala dhambi, suala hilo limegubikwa na utata kwani wanaotoa madai hayo hawajafafanua zilikopelekwa fedha hizo kutekeleza malipo hayo.
...............Alisema anashauri kuulizwa Mongella kwa vile tuhuma za kumhusisha na upotevu wa fedha hizo, Membe alisema pamoja na kwamba, serikali kumlipia madeni Mongella siyo kosa wala dhambi, inawezekana zinatokana na wivu au tatizo la utawala au ukaguzi mbovu wa hesabu............
..........suala hilo limegubikwa na utata kwani wanaotoa madai hayo hawajafafanua zilikopelekwa fedha hizo kutekeleza malipo hayo........
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema hoja kuhusu uhalali wa serikali kulipa Sh. milioni 180 zilizopotezwa na aliyekuwa Rais wa Bunge la Afrika, Balozi Getrude Mongella alipokuwa akishikilia wadhifa huo, haina hadhi ya kujadiliwa kwa vile ni jambo dogo kulinganisha na sababu iliyomfanya aachie ngazi katika Bunge hilo.
.
Kwa hiyo Membe anataka kupingana na Audit report ya KPMG? sasa kama hataki kukubali Independent Audit report , atamwamini nani ? Au kwa kuwa na yeye anafuja Pesa hivyo hivyo ndio maana anasema 180millioni ni jambo dogo, basi ujue wamezoe kupiga mabillioni ndio wanaona pesa.
Na huyu (Membe) ndo eti anajiandaa kuwa rais 2015 mbona tutakuwa hatuna rais bali a bogus person in the Tanzanian white house! Yaani viongozi wetu wametufanya sisi kama wajinga vile yaani wanadiriki kusema 180m ni kidogo tu wakati Zingibari Sekondari huko Tanga watoto wanalala kwenye bweni la nyasi na tope wakisema hakuna pesa. Yaani TZ pesa kwa ajili ya mambo ya maendeleo hakuna lakini kwa hopeless issues ziko pesa za kumwaga. Jamani tutaendeleaje namna hii? Viongozi wetu ni wabinafsi wa kupindukia na wameamua kutengeneza kifamilia chao cha kula tu na kuteteana katika maovu yao na wako tayari kuingia gharama zozote kumsaidia mwenzao at the expense of the wananchi. Yaani wameifanya nchi kuwa kama kampuni yao binafsi kwa maslahi yao wenyewe tu. Oooooooooh! Viongozi wa Tanzania badilikeni jamani.
Tulishasema - Miafrika Ndivyo Tulivyo!
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema hoja kuhusu uhalali wa serikali kulipa Sh. milioni 180 zilizopotezwa na aliyekuwa Rais wa Bunge la Afrika, Balozi Getrude Mongella alipokuwa akishikilia wadhifa huo, haina hadhi ya kujadiliwa kwa vile ni jambo dogo kulinganisha na sababu iliyomfanya aachie ngazi katika Bunge hilo.
.
..Benard Membe alikuwa mstari wa mbele kumlipua Dr.Kitine katika ile kashfa ya mkewe kufoji malipo ya matibabu.
.
Sinyolita said:Membe ni Fisadi tu. Ni kauli kama hizi ndo huwa zinawa-cost watu siku za mbeleni - niliwahi kusoma sehemu flani ati huyu Membe naye ni miongoni mwa watu wanaotarajiwa kumrithi kiti JK. Bora his 'true colour' imeanza kunga'ara mapema
Sinyolita, waandishi wetu nao wana matatizo sana jinsi wanavyofanya hizi interviews. inaelekea hawafanyi research ya aina yoyote ile wakati wanaandaa maswali.
Jokakuu, Kusema kweli mambo kama haya yananishangaza sana kwani sikutegemea kabisa kwamba Membe anaweza toa majibu kama haya.. Kifupi watu wengi humu hawampitishi Membe lakini mimi nilikuwa na matumaini naye sana tu.. sasa napopoona picha kama hii narudi nyuma na kujiuliza huko Bongo kunani? Je, Bongo inabadilisha watu au kuna kitu gani - Fedha, wadhifa au?.Membe ni Fisadi tu. Ni kauli kama hizi ndo huwa zinawa-cost watu siku za mbeleni - niliwahi kusoma sehemu flani ati huyu Membe naye ni miongoni mwa watu wanaotarajiwa kumrithi kiti JK. Bora his 'true colour' imeanza kunga'ara mapema