Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 1,145
- 1,918
Kuna jamii ndogo ya Watusi mkoa wa mbeya ambayo wamekua ni wenyeji kwa muda. Kwasababu ni jamii ya watu wachache si rahisi kunotice.
Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.
Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?
Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda
Binafsi nimekutana na familia kama kumi hivi wengine wanajiita Wanyakyusa lakini ukiongea nao unakuta wana asili ya kitusi ni kama mababu zao walikuja siku nyingi.
Swali ni je jamii hii ya Watusi walifikaje Mbeya?
Hasa ukizingatia mbeya haiko mpakanani na rwanda