permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 12,333
- 15,049
Wanaliwa vya kutosha, dawa ni kuungana na wale wanaowainamisha.Kiukweli baada ya uvumilivu wa Muda mrefu nimeona bora kusema tu kweli kuhusu hawa waturuki wanaojenga SGR, sitaki kubase sana kwenye efficiency yao ya kazi ila nataka niweke wazi kwenye swala la socialization na sisi watanzania.
Wamekua ni watu wakatili na wakorofi sana inapokuja kwenye swala la haki ya mfanyakazi wanawapiga ndugu zetu site bila sababu na endapo ukajaribu kujibu mashambulizi wanakufukuza kazi.
Hivi majuzi nimeshuhudia mtu amefukuzwa kisa tu amekutwa amemsaidia dereva gari baada ya dereva kuumwa ghafla wakiwa site .
Nakazia hapa. Wabongo ni watu wa kulipua sana kazi tumeendekeza pesa mbele kuliko ubora wa kazi, wenzetu ubora ndo kila kituNa ufanyaji kazi kazi zisizo na ubora anataka alipue kazi tu alipwe chake asepee ,ss wanapokutna na waturuki kwenye kila ktu wamenyooka bac mbongo akielekezwa anaona anaongeaa ,mm npo kwenye mradi huu toka 2021 mwezi wa nne ,nilichojufunza kwa wenzetu n watu wamenyookaa na ukikaa nao vzr utajifunzaa mengi na watakujali sanaaa ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni kweli kabisa. Yaani creativity, innovation yote ipo kwenye namna ya kuiba.Wakati mwingine kuajiri watanzania inaweza kuwa ni changamoto kubwa sana. Tanzania ni nchi yangu na nawajua walivyo.
Wezi, wajanja wajanja, wavivu, wanapenda mkato... maneno na excuses kibao.
Sio sababu ya kumpiga ..acha kutetea ujingaTatizo wabongo wamezidi wizi, ukiangalia miradi mikubwa inayojengwa yaani wabongo wanaiba hovyo Sana wakati miradi ni kwa manufaa yetu.
Mafuta wanaiba, vyuma vya Kila aina wanabeba, saruji wanabeba kokoto hadi mchanga
Wana ubia na serikaliKiukweli baada ya uvumilivu wa Muda mrefu nimeona bora kusema tu kweli kuhusu hawa waturuki wanaojenga SGR, sitaki kubase sana kwenye efficiency yao ya kazi ila nataka niweke wazi kwenye swala la socialization na sisi watanzania.
Wamekua ni watu wakatili na wakorofi sana inapokuja kwenye swala la haki ya mfanyakazi wanawapiga ndugu zetu site bila sababu na endapo ukajaribu kujibu mashambulizi wanakufukuza kazi.
Hivi majuzi nimeshuhudia mtu amefukuzwa kisa tu amekutwa amemsaidia dereva gari baada ya dereva kuumwa ghafla wakiwa site .
NdioSasa Ndo apigwe?
Huu ujinga wa kuiba umeanza kwa viongozHiyo ni kweli kabisa. Yaani creativity, innovation yote ipo kwenye namna ya kuiba.
Kama watu wangetumia akili vizuri with ethics miaka 60 ya uhuru tungekuwa mbali sana. Waangalie Korea Kusini, Vietnam wamejitransform from dependent to donor country
Hiyo shida ya mji kugawanywa sehemu mbili zenye shida ya kuwasiliana ni kubwa pia Kilosa.Sema SGR wanawanyima wakaazi pande mbili za reli haki ya kuwasiliana kwa kuwatenganishia na uzio bila kuwawekea understanding tunnel yaani makaravati ya kuvukia chini ya reli. Kama walivyowawekea wanyama wa porini na mifugo makaravati ya kuvukia chini ya reli. KWA sababu wao wanakaa masaki na osterbay hayawahusu. Kuna shule, masoko, stand za daladala, nyumba za ibada na shughuli mbalimbali za kijamii, hivi vinalazimisha wakaazi wa pande zote mbili kuingiliana SAsa kuwawekea uzio wasiwasiliane ni kinyume na haki za binadamu.
Wabongo bila nginja nginja hamuenda mnapenda uwizi na majungu tu ndio mnachoweza akiwachekea tu imekula kwake.......Mturuki kaza buti.Kiukweli baada ya uvumilivu wa Muda mrefu nimeona bora kusema tu kweli kuhusu hawa waturuki wanaojenga SGR, sitaki kubase sana kwenye efficiency yao ya kazi ila nataka niweke wazi kwenye swala la socialization na sisi watanzania.
Wamekua ni watu wakatili na wakorofi sana inapokuja kwenye swala la haki ya mfanyakazi wanawapiga ndugu zetu site bila sababu na endapo ukajaribu kujibu mashambulizi wanakufukuza kazi.
Hivi majuzi nimeshuhudia mtu amefukuzwa kisa tu amekutwa amemsaidia dereva gari baada ya dereva kuumwa ghafla wakiwa site .
Una uhakika na unalolisema mbona limekaa kimajungu?Hivi majuzi nimeshuhudia mtu amefukuzwa kisa tu amekutwa amemsaidia dereva gari baada ya dereva kuumwa ghafla wakiwa site .
ujamaa umetuharibu. Hatuwezi kufanya kazi kwa kufuata sheria za kimataifa, sisi tunataka kila kitu laini laini.Sisi wabongo tunapenda vitu easy easy sana,hatupendi kufuata utaratibu, kuna camp yao moja niliona dereva wao walimgomea kuweka mafuta kisa alisahau driving licence home, wakabadili dereva.
afadhali umetupa upande wa pili wa hii storiNa ufanyaji kazi kazi zisizo na ubora anataka alipue kazi tu alipwe chake asepee ,ss wanapokutna na waturuki kwenye kila ktu wamenyooka bac mbongo akielekezwa anaona anaongeaa ,mm npo kwenye mradi huu toka 2021 mwezi wa nne ,nilichojufunza kwa wenzetu n watu wamenyookaa na ukikaa nao vzr utajifunzaa mengi na watakujali sanaaa ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu jifunze jiografia vizuri zaidi. Tangu lini Mturuki akawa muarabu?UISLAMU +UARABU = UKATILI.
Ndugu zetu wanateseka sana Uarabuni.
Hawa watu ni MAKATILI SANA.
Heshimu taratibu za ajira, unapotumia gari unakuwa umezungukwa na watu wengi ndiyo sababu hukatiwa bima na lolote litakalotokea mwenye gari huwajibika. Alifukuzwa kazi kwa kujipa jukumu bila ya mwenye mali kumruhusu, kumbuka gari hilo si mali ya aliyeugua.Kiukweli baada ya uvumilivu wa Muda mrefu nimeona bora kusema tu kweli kuhusu hawa waturuki wanaojenga SGR, sitaki kubase sana kwenye efficiency yao ya kazi ila nataka niweke wazi kwenye swala la socialization na sisi watanzania.
Wamekua ni watu wakatili na wakorofi sana inapokuja kwenye swala la haki ya mfanyakazi wanawapiga ndugu zetu site bila sababu na endapo ukajaribu kujibu mashambulizi wanakufukuza kazi.
Hivi majuzi nimeshuhudia mtu amefukuzwa kisa tu amekutwa amemsaidia dereva gari baada ya dereva kuumwa ghafla wakiwa site .
Understanding! Sio undeground tunnel.Sema SGR wanawanyima wakaazi pande mbili za reli haki ya kuwasiliana kwa kuwatenganishia na uzio bila kuwawekea understanding tunnel yaani makaravati ya kuvukia chini ya reli. Kama walivyowawekea wanyama wa porini na mifugo makaravati ya kuvukia chini ya reli. KWA sababu wao wanakaa masaki na osterbay hayawahusu. Kuna shule, masoko, stand za daladala, nyumba za ibada na shughuli mbalimbali za kijamii, hivi vinalazimisha wakaazi wa pande zote mbili kuingiliana SAsa kuwawekea uzio wasiwasiliane ni kinyume na haki za binadamu.