Watumishi wa umma zidisheni uzalendio

Watumishi wa umma zidisheni uzalendio

B-2 STEALTH BOMBER

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2024
Posts
4,648
Reaction score
6,411
Inasikitisha raisi wa nchi anatetea wizi wa mali za umma. Hahaa hapa tuna kazi kwa kweli. Watumishi wa umma tuna waomba mzidishe kutoa ya sirini ili tuzidi kupata mwanga na mwangaza sisi watanganyika wa chini.
Nimesononeka na kuumia sana.
Kumbe Limama linabariki unyang'anyi bila aibu wala soni yeyote ile.

Nimeanza kuelewa zaidi kuwa ni lazima watanganyika tusimame kwa umoja tupambane na hawa wezi kwa namna yenye kuleta mpenyo wa kuwaondoa.
Kuna siri nyingi na mikataba mibaya sana kwa namna hii.
Nchi ina tafunwa live live.
 
Inasikitisha raisi wa nchi anatetea wizi wa mali za umma. Hahaa hapa tuna kazi kwa kweli. Watumishi wa umma tuna waomba mzidishe kutoa ya sirini ili tuzidi kupata mwanga na mwangaza sisi watanganyika wa chini.
Nimesononeka na kuumia sana.
Kumbe Limama linabariki unyang'anyi bila aibu wala soni yeyote ile.

Nimeanza kuelewa zaidi kuwa ni lazima watanganyika tusimame kwa umoja tupambane na hawa wezi kwa namna yenye kuleta mpenyo wa kuwaondoa.
Kuna siri nyingi na mikataba mibaya sana kwa namna hii.
Nchi ina tafunwa live live.

Pale inapotokea uhalifu kutamalaki ndani ya Utawala wa nchi, basi makundi ya Wanaharakati Wapinzani huwa yanazaliwa ndani ya Utawala huo huo. Watu wazalendo huwa hawakosekani ndani ya Serikali yoyote ile, hata kama Serikali hiyo itakuwa imeundwa na Watu mashetani kwa 99. 9% , bado wazalendo wachache lazima watakuwepo
 
Pale inapotokea uhalifu kutamalaki ndani ya Utawala wa nchi, basi makundi ya Wanaharakati Wapinzani huwa yanazaliwa ndani ya Utawala huo huo. Watu wazalendo huwa hawakosekani ndani ya Serikali yoyote ile, hata kama Serikali hiyo itakuwa imeundwa na Watu mashetani kwa 99. 9% , bado wazalendo wachache lazima watakuwepo
Kiukweli ya zidi kuzaliwa kina idara na kila ofisi. Kama mkuu wa nchi anaongea ujinha hivi
 
Hata polisi kuna wazalendo hata kuliko wajumbe wa baraza kuu la Chadema.
 
Back
Top Bottom