Na wakuu wa mikoa vipi mkuu?Kama changamoto ilivyo Kwa wabunge hivyo hivyo Hata madiwani wanapaswa kuwa wasomi Walau kuanzia kiwango cha shahada moja!
Excellent , binafsi namuunga mkono mkulyJapo umeandika hovyo lakini nahisi wewe ni muathirika namba moja wa uamuzi wa Mh Rais.!
Hebu fikiri kidogo Kama wewe ni mkazi wa Dar tembelea kimara.! Angalia ujenzi unaofanyika kisha jiulize je wilaya hiyo ina afisa mipango ardhi?
Upimaji wa viwanja na ramani idara hiyo ipo? Kama ipo, ipo tangu lini?
Je wanalipwa mishahara kama ndio je kwa kazi ipi. Ama iliyofanywa ama inayofanywa, sasa.!
Au tembelea Jiji la mbeya hasa maeneo ya uyole juu na uyole kati angalia Zile nyumba zinazojengwa kisha jiuliza afisa Ardhi yupo.?
Je jiji la Mbeya lina idara ya upimaji na ramani.? Kama ipo hiyo idara je ina muda gani? Na je ina watu wanaolipwa na serikali? Kama ndio je kwa kazi ipi wanayofanya?!!
Kisha baada ya hapo usisahau uuzwaji wa viwanja vilivyopimwa ulivyo na mizengwe na rushwa vibali vya ujenzi na nk.
Au amua kutembelea Nchi jirani tu kisha angalia miji ya wenzetu na huo wa kwetu.
Ukisha jijibu maswali hayo utampongeza mh Rais kwa uamuzi huo..
Nadhani haukumsikiliza vizuri mheshimiwa Rais.No ukiritimba ndio utazidi Kama mkuu wa idara ataratibiwa na wizara badala Ya madiwani mkuu ni hatari kumbuka kuwa halamashauri ziko zaidi Ya 180 zote ziratibiwe na mtu mmoja si jumbo rahis Kama unavyofikiria tofauti na madiwani walioko hapo hapo Siku zoote saaa yooote pia kumbuka kuna watakaoletwa na huyo katibu mkuu Kama Jamaa zake
Mkuu, umeielewa mada lakini ama umesikiliza alichokisema rais juu ya hasara taifa limeingia kwa kipindi kirefu kutokana na utendaji usiowajibika wa wahandisi wa maji wa halmashauri?Inasikitisha sana kuona Kwa zaidi ya miaka 57 ya uhuru wa Tanganyika huduma ya Maji imeshindikana kupatikana [emoji848][emoji848][emoji87][emoji87]
Kila mwaka bajeti ya Maji inasomwa lakini tatizo la Maji linazidi kuwa kubwa sana!
Hata Dar imeshindikana kuwa mfano Kwamba ukiwa huku tatizo la Maji ni historia !
Sasa Hivi mshaurini asinunue ndege kwanza hadi wananchi tupate huduma ya Maji jamani!
Watanzania daini katiba mpya na tume huru CCM itoke vinginevyo mtapata tabu Sana
Na wakuu wa mikoa vipi mkuu?
Unamwambia mtanzania uyuuyu ninaemjua mimi adai katiba mpya au kuna mwingine?Watanzania daini katiba mpya na tume huru CCM itoke vinginevyo mtapata tabu Sana
Nini Hiki??sio lazima ufanye madudu wewe. kumkuu wa idara ya fedha mafia amefukuzwa kazi kwa kumlatalia mkurugenzi ndugu erick mapunda aliyeteuliwa na MAGUFULI kufuata taratibu za pesa. umekaa hapo ulipo unabwabwaja tu kama kasuku
Sawa, lakini mbona kuna mizengwe huko? Ngoja wanyooshwe then badae watarudishiwa baada ya kunyooshwa?Mkuuu wewe ulienda shule? Au unajitoa ufahamu coz Ya vijisenti? Unajua maaana Ya madaraka Ya serikali za mitaaa? Mimi nilikuwa Mwalimu niliacha miaka mingi nashughulika na biashara zangu hivyo ninaongea Kwa mujibu wa sheria na sera unapotaka kurudisha madaraka serikali kuuu wizarani ni kurudi nyuma hatua mia hivi kwenye Maendeleo unapaswa kurudi nyuma?
Ndo head of the state ;so kelele za chura hazimzuii ndama kunywa majiHata yeye mwenyew ni mkiritimba..mbona kaleta ukiritimba kuwapa watumishi wa umma annual increment zao...kaleta ukiritimba kupandisha madaraja na vyeo vya watumishi wa umma...lile povu analowatolea watumishi wa umma kuchelewa kufanya majukumu yao kwa wakati ilitakiwa ajitolee yeye kwanza kwa kutowapa haki zao kwa wakati...nyani haoni kundulee
Hata mitume walikuwa na maadui;sembuse mtu wa kawaida asiyekuwa mtumeMkuu hadi amalize miaka kumi atakuwa na maadui kila uchochoro
Acha mnyooshwesasa na nani alikuambia unawadhibiti watu kinidhamu kwa kugatua madaraka na kuyapeleka serikali kuu,halafu kwa akili yako unategemea huyo waziri wa TAMISEMI,Ktibu mkuu wataenda tofauti na anavyo hitaji magufuli?. pia hao madiwani watawezaje kusimamia watu ambao wata report moja kwa moja kwa WAZIRI?
anacho kifanya magufuli anarudisha mambo nyuma mara 100 na yalivyo kuwa
Kazi za miradi zitaonekana kwa uamuz huu! Sio kula mishahara tu na poshouna unga mkono sababu hujui ni kwa nini serikali za mitaa zilianzishwa,kila idaa inayounda halmashaui ni muhimu ktk maisha ya watu huwezi sema unaitoa huko eti kwa kuwa inasumbuliwa na madiwani.
Mkuu sema kiswahili kimekupiga chenga,mimi mswahili nimesoma na kufahamu alichoandika,makosa yapo katika kuchanganya baina ya "L" na "R",mfano "Hali" ameandika "Hari",haya makosa sisi waswahili kwa sasa tumeanza kuyazoea,tukiona hivyo moja kwa moja tunajua muandishi katokea wapi😀Huu Uzi nimesoma nikaishia katikati, inawezekana kabisa Ujumbe ukawa mzuri ila tatizo uandishi. Daaaaah mkuu mkato na nukta zilikupitia kushoto? Hata ladha ya kuendelea kusoma inakata mkuu, rekebisha huu uzi bwana unyooshe maelezo
No ukiritimba ndio utazidi Kama mkuu wa idara ataratibiwa na wizara badala Ya madiwani mkuu ni hatari kumbuka kuwa halamashauri ziko zaidi Ya 180 zote ziratibiwe na mtu mmoja si jumbo rahis Kama unavyofikiria