Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,593
- 17,553
Nimejaribu kufuatilia mwenendo wa watumishi wengi wa serikali katika kipindi hiki nimegundua watumishi walio wengi hawampendi mh.
Wengi wao wamekua wakitumia msemo wa HAPA KAZI TU kuwanyanyasa watu wanaohitaji huduma kutoka ofisi za serikali.
Kwa mfano, walimu wakiwa wanatoa adhabu kwa wanafunzi wanasema hapa kazi tu. Kuonyesha kwamba hapa kazi tu ni adhabu.
Madaktari na Manesi ndo usiseme.
Askari nao hali ni the same.
Nini tatizo la watumishi?
Hawapendi uwajibikaji?
Karibu tujadili
Wengi wao wamekua wakitumia msemo wa HAPA KAZI TU kuwanyanyasa watu wanaohitaji huduma kutoka ofisi za serikali.
Kwa mfano, walimu wakiwa wanatoa adhabu kwa wanafunzi wanasema hapa kazi tu. Kuonyesha kwamba hapa kazi tu ni adhabu.
Madaktari na Manesi ndo usiseme.
Askari nao hali ni the same.
Nini tatizo la watumishi?
Hawapendi uwajibikaji?
Karibu tujadili