A
Anonymous
Guest
Mimi ni mdau wa elimu, naomba ujumbe huu ufike kwenye mamlaka za Juu Serikalini, lengo sio kuchafua taasisi yetu bali ni kutusaidia sisi Watanzania ambao tuna hali ngumu na hatuna mtu wa kutusaidia.
Siwezi kuharibu taasisi yangu wakati najua ndio sehemu ambayo Napata ugali wangu na familia yangu.
Taasisi ya Fountain Gate Academy imekuwa na changamoto yua kutolipa mishahara na stahiki mbalimbali za Wafanyakazi wake, hapa ninavyoandika ni zaidi ya miezi 6 sasa, hatujalipwa na kila siku tunajipa imani labda kesho.
Wafanyakazi tukiuliza juu ya haki yetu hiyo tunajibiwa “Geti lipo wazi, anayetaka aondoke”, sasa tutaondokaje wakati tunadai stahiki zetu!
Hali hiyo hasa Tawi la Dodoma imesababisha watumishi amba oni Walimu, Walinzi na madereva kuwa kuishi kwa kudowea chakula cha Wanafunzi Shuleni, hali ni mbaya.
Siku za nyuma ilipokuwa ikitokea hali hii, taarifa zilipofika kwa Wakubwa, Uongozi wa Taasisi ulichokuwa ukifanya ni kulipa miezi miwili au mitatu kisha hali ikipoa, wanarejea kulekule.
Baadhi ya Walimu wameshindwa kujihudumia kwenye matibabu kutokana na kutokuwa na hela.
Ujumbe huu ufike kwa Wizara ya Elimu, TAMISEMI na Ofisi ya Rais kwamba Watumishi wa Fountain Gate tunalazimika kudowea vyakula vya Wanafunzi ili njaa isituue.
Siwezi kuharibu taasisi yangu wakati najua ndio sehemu ambayo Napata ugali wangu na familia yangu.
Taasisi ya Fountain Gate Academy imekuwa na changamoto yua kutolipa mishahara na stahiki mbalimbali za Wafanyakazi wake, hapa ninavyoandika ni zaidi ya miezi 6 sasa, hatujalipwa na kila siku tunajipa imani labda kesho.
Wafanyakazi tukiuliza juu ya haki yetu hiyo tunajibiwa “Geti lipo wazi, anayetaka aondoke”, sasa tutaondokaje wakati tunadai stahiki zetu!
Hali hiyo hasa Tawi la Dodoma imesababisha watumishi amba oni Walimu, Walinzi na madereva kuwa kuishi kwa kudowea chakula cha Wanafunzi Shuleni, hali ni mbaya.
Siku za nyuma ilipokuwa ikitokea hali hii, taarifa zilipofika kwa Wakubwa, Uongozi wa Taasisi ulichokuwa ukifanya ni kulipa miezi miwili au mitatu kisha hali ikipoa, wanarejea kulekule.
Baadhi ya Walimu wameshindwa kujihudumia kwenye matibabu kutokana na kutokuwa na hela.
Ujumbe huu ufike kwa Wizara ya Elimu, TAMISEMI na Ofisi ya Rais kwamba Watumishi wa Fountain Gate tunalazimika kudowea vyakula vya Wanafunzi ili njaa isituue.