Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 569
- 1,214
Mama anaupiga mwingi,
Kwanza tutambue serikali ina mengi ya kufanya hasa kuboresha huduma za kijamii ambazo husaidia wote watumishi na wasiowatumishi, mfano barabara, hosptali, shule vyuo, kilimo na mengine mengi.
Tuache ubanafsi tuwe wavumilivu Mambo yatakuwa mazuri tu kila kitu kinakwenda kwa mipango. Hongera Mama SAMIA hongera Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Mnaupiga mwingi.
Kwanza tutambue serikali ina mengi ya kufanya hasa kuboresha huduma za kijamii ambazo husaidia wote watumishi na wasiowatumishi, mfano barabara, hosptali, shule vyuo, kilimo na mengine mengi.
Tuache ubanafsi tuwe wavumilivu Mambo yatakuwa mazuri tu kila kitu kinakwenda kwa mipango. Hongera Mama SAMIA hongera Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Mnaupiga mwingi.