orturoo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 2,676
- 4,246
tuliokuchkulia poa tumeanza kukuelewaWewe mtumishi,ni mda wa kuchukua tahadhari mapema
1.Hakikisha unaweka akiba ya chakula cha kukutosha kadri utakavyoweza,jitahidi angalau chakula cha miezi mitatu kisikauke ndani
2 Fuga japo kuk4 u 5,pamoja na bustani ndogo za mboga
Ni hayo tu kwa leo 23/11/2018,msije mkasema sikuwaambia.