Watumishi hewa 169 wagundulika mkoani Kigoma

Watumishi hewa 169 wagundulika mkoani Kigoma

wasibabishaji wakubwa wa watumishi hewa ni wakurugenzi,maafisa utumishi na watumishi wa hazina wasiowaaminifu.kwa mfano halmashauri nyingi bado zinawalipa watumishi wa serikali walioacha kazi, waliostaafu na hata kufariki dunia. salary slip bado zinaendelea kutolewa na hazina. maghufuli akaze buti nje ya hapo yatamshinda....
 
wasababishaji wakubwa wa watumishi hewa ni wakurugenzi,maafisa utumishi na watumishi wa hazina wasiowaaminifu.kwa mfano halmashauri nyingi bado zinawalipa watumishi wa serikali walioacha kazi, waliostaafu na hata kufariki dunia. salary slip bado zinaendelea kutolewa na hazina. maghufuli akaze buti nje ya hapo yatamshinda....
 
Timiza wajibu wako kama raia mzuri!

Wataje kwa majina na mbinu wanayotumia katika kuajiri watumishi hewa.
Waende Muhas wataona vituko zaidi wao wanapeta hata ile amri ya kuondoa vitafunwa kwenye seminar inaendelea kama kazi
 
chakusangaza hao watumishi hewa salary slips zinakuja lakini mishahara haiingii kwenye account zao! wanafungua account fake cjui kwa majina ya wafanyakazi!! hili jambo likifwatiliwa yatabainika mengi hadi kugushi sahihi za hao watumishi na watu wa bank watahusika
3fb45c94acdbf9345c65fef6efea12e5.jpg

ukiwa na jipu litumbue hapa taja wilaya na hata jina la mhusika na jipu lilipo
 
Naona Mzee wa ajira kwa vijana alilala usingizi wa pono au alipigwa nusu kaputi nini?

Wapo wengi tu hapa tz.
""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""""
 
Siku wenye nchi yao wakiamka usingizini hapatatosha na utakuwa mwisho wa huu ufalme. Yaani kijana kamaliza chuo mwaka wa tano hana ajira wala mtaji na bado bodi iliyomkopesha ada ya chuo kikuu inampiga mikwara kila kukicha eti "alipe" wakati kuna walafi wachache tu wanakula mishahara ya makumi ya maelfu ya Watumisho hewa. Ndio maana makundi ya waasi hayakosagi askari.
 
Swali la kujiuliza ni kwamba hao watumishi mishahara yao inawafikia au inaishia kwa wakuu wa idara?
Wapiga hizo dili ni wengi na mikoa mingine ijitahidi kufanya hivyo kuokoa hizo hela
Naona kama viongozi wa mikoa/wilaya ndo wanao kula pesa hiyo au kuna chain ya kuzirudisha juu, na hao hao ndo wanao hakiki.
 
sasa hivi upinzani badala ya kuungana na jpm wao wameanza kutetea ujinga kama huu
watumishi 169 hewa kwa mkoa mmoja tena wa pembezoni je kwa jiji kama DAR na ARUSHA ambako wakuu wengi wa IDARA NI wapiga dili sijui hali ikoje mpaka sasa
Sipati picha Arusha
Makao makuu ya MAFISADI
ipo je
 
sasa hivi upinzani badala ya kuungana na jpm wao wameanza kutetea ujinga kama huu
watumishi 169 hewa kwa mkoa mmoja tena wa pembezoni je kwa jiji kama DAR na ARUSHA ambako wakuu wengi wa IDARA NI wapiga dili sijui hali ikoje mpaka sasa




Punguza "ashkmajinoon" au kama vipi wahi Mombasa ukatulizwe,upinzani umeingiaje katika hii hoja iliyoletwa na MSEMAJI UKWELI?Upinzani ndiyo waliotoa ajira za hao watumishi hewa?

Hili si jukwaa linaloendeshwa kipropaganda,kama baadhi ya hoja ziletwazo hapa zinakuzidi kimo,chukua kistuli upande ili uweze kuzisoma vema na kuzielewa kabla ya kuchafua hali ya hewa hapa jukwaani.

Hoja iliyoletwa jukwaani ni watumishi hewa ambao wametapakaa katika sekta na Taasisi zote za Umma.Magufuli alipotembelea BOT nako alikutana na tatizo hili la watumishi hewa,je kwa nakisi yako ya ubongo usioweza kujaa hata kisoda,watumishi hao waliajiriwa na Mh.Mbowe?

Yawezekana huwa inafikia mahali hadi ccm inashangaa aina ya watu iliyonao,ukereketwa wa aina yako hauna tija hata kwa chama chako.Msaada pekee anaoweza kupewa Magufuli ni kuambiwa Ukweli kama Msemaji Ukweli alivyohoji kuwa imekuwaje hadi ofisi ya mkuu wa mkoa nayo iwe na watumishi hewa?

Visaidieni vyama vyenu kwa kuviambia Ukweli na si kwakuzifanyia propaganda kila hoja zenye mwelekeo wa kulikomboa Taifa.

Tatizo la watumishi hewa katika Halmashauri nyingi linaweza kuwa ni Tatizo la kimfumo,ikumbukwe hapo awali taarifa zote za watumishi zilikuwa zinatunzwa na Masijala.Mfumo huu wa kutumia mafaili mara nyingi huwa unakuwa mgumu kufuatilia jina la mtumishi aliyepoteza sifa za kuendelea kuwemo kwenye mafaili ya Masijala zetu.

Suruhisho la hili ni kuzipatia Halmashauri zetu wataalamu wa teknolojia ili taarifa zote za watumishi wake ziwekwe kwenye database,badala ya kuendelea kutumia mafaili ambayo huchelewesha zoezi la ufuatiliaji wa taarifa na kumbukumbu za watumishi wa idara zetu.
 
Tuliakikiwa pale Iramba mpaka tulichina maana singida ndo tulikuwa case study kumbe wapo wengi eeeh!! Sasa tunasubiri kuona hatatua sisisi zikichukuliwa ili kukomesha tabia za kipiga dili hela za umma
Singida ilikuwa ndio kioo
 
Sipati picha Arusha
Makao makuu ya MAFISADI
ipo je



Eti huyu naye ni "GT" utakuwa ubongo wako unafikiri "kinyumesaa" Hata kama Arusha ipo chini ya Chadema na UKAWA,Chadema si mamlaka ya ajira za watumishi wa Umma waliopo Arusha.Hakuna chama kilichoajiri mtumishi yeyote wa Umma,ajira za watumishi wote wa Umma zipo chini ya serikali kuu na vyombo vyake(TAMISEMI).
 
Walioambiwa juzi wameshatoa wafanyakazi hewa. BOT karibia mwezi kimya?
 
Hayo ya watumishi hewa yalifanywa na serikali sikivu ya CCM .Kwa maana nyingine CCM inatumbua yenyewe majipu yake hayatuhusu sisi. Sisi tunafuatilia yanayofanyika nyuma ya pazia ambayo ni double standard!



QUOTE="TRUVADA, post: 15670426, member: 196104"]sasa hivi upinzani badala ya kuungana na jpm wao wameanza kutetea ujinga kama huu
watumishi 169 hewa kwa mkoa mmoja tena wa pembezoni je kwa jiji kama DAR na ARUSHA ambako wakuu wengi wa IDARA NI wapiga dili sijui hali ikoje mpaka sasa
[/QUOTE]
Kijana hakika unatekeleza sera za chadema kwa kuzungusha kiuno umeshavuka viwango kuzungusha mikono.
 
Back
Top Bottom