Watumiaji wa Router za vodacom na tatizo la internet

Watumiaji wa Router za vodacom na tatizo la internet

Attachments

  • IMG_20260216_114028.jpg
    IMG_20260216_114028.jpg
    189.2 KB · Views: 8
Hivi hii kitu ni nini? Na inapatikanaje? Chief-Mkwawa Reuben Challe Mwl.RCT
Mimi siyo Chief Mkwawa wala Reuben Challe ila hiyo ni Satellite dish ni connection ya internet kutoka kwenye Satellite moja kwa moja unalipia kwenye makampuni ya satellite ambayo yanakua regulated na TCRA, internet yake ni ya uhakika ila ina gharama sana makampuni yanatoza kati ya $50-$200 kwa mwezi

NB: Mimi siyo Chief-Mkwawa wala Ruben Challe Mwl. RCT
 
Hivi hii kitu ni nini? Na inapatikanaje? Chief-Mkwawa Reuben Challe Mwl.RCT
Haionekani vizuri ila inaweza kuwa antenna ya WiFi, kama hivi
0.6m-30dBi-AirMAX-Dish-Antenna-for-Ubnt-Radio-Lanbowan-Mimosa-Wifi-Antenna.jpg_300x300.jpg

Huwa WiFi zinasafiri kwa mstari ulionyooka, kukiwa hakuna kizuizi inaenda mbali, so wanaziweka juu kama kwenye nyumba ili ifikie watu mbali, same concept kama mnara wa simu.
 
Mimi siyo Chief Mkwawa wala Reuben Challe ila hiyo ni Satellite dish ni connection ya internet kutoka kwenye Satellite moja kwa moja unalipia kwenye makampuni ya satellite ambayo yanakua regulated na TCRA, internet yake ni ya uhakika ila ina gharama sana makampuni yanatoza kati ya $50-$200 kwa mwezi

NB: Mimi siyo Chief-Mkwawa wala Ruben Challe Mwl. RCT
Mkuu Ahsante sana kwa ufafanuzi. Nimeona zipo kwenye baadhi ya majengo, nyumba za watu binafsi nk

Ndio nikataka kufahamu hicho ni kitu gani na kinafanyaje kazi.
 
Haionekani vizuri ila inaweza kuwa antenna ya WiFi, kama hivi
View attachment 3544815
Huwa WiFi zinasafiri kwa mstari ulionyooka, kukiwa hakuna kizuizi inaenda mbali, so wanaziweka juu kama kwenye nyumba ili ifikie watu mbali, same concept kama mnara wa simu.
Kwa hiyo ni kama vile kusema kuwa hao waliozifunga, wanawezs sambaza intaneti kwa watu wengine?
 
Kwa hiyo ni kama vile kusema kuwa hao waliozifunga, wanawezs sambaza intaneti kwa watu wengine?
Hapana hizi vijana wa Ofisi ya Rais wanazo sana makwao ila watu wa kawaida pia wanazo
 
hiyo ni p2p wireless bridge, possibly ikawa dish ya airfiber maana inapokea mawimbi toka uelekeo mmoja (directional), inawekwa juu kabisa ipate line of sight na access point (ya fiber) iliyosimikwa barabarani huko
Nimeziona sehemu kadhaa hapa mjini. Nikajiuliza ndio nini hizo. Naona Troll JF ameeleza kwa kina, amesema hata bei za package zake zimesimama.

Leo Kibamba nimeona, jamaa wanauza vocha za jelo unatumia intaneti masaa 6 au buku ni kwa siku nzima, wanajiita Kicknet, nao nimeona wana kidish kama hicho
 
Back
Top Bottom