Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,263
- Thread starter
- #41
Hahahaha. . .Natamani ningemuona huyo mama akiwakata hao watu ulimi.lizzy hii issue imenichekesha maana nimekumbuka tukio la mama mmoja stend kuwashushua waliokuwa wanamwambia amnyonyeshe mtoto wale aliyekuwa analia, sio siri mi pia huwa naboreka sana mtu kunielekeza kuhusu mtoto wangu
Inaboa sana mtu kujifanya anajua kitu asichokijua.