mrengo wa kushoto
Senior Member
- Sep 27, 2015
- 100
- 185
Andoid umetumia simu gani?Baada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari
BAADA YA KUJUA SASA
Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli
RAHA ZILIZOPO IPHONE
Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android
Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo
Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline
Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)
Vingine tuongezee
Na vijana wa sasa hivi tukishauriana hivyo wewe unayetoa huo ushauri unaonekana mshamba, una mawazo ya kizee n.k na wao ndiyo wajanja!Kwenye ishu ya gari hapo kuna mwanangu iliwahi mtokea
Alikuwa mwajiriwa na mshahara wake ulikuwa wakawaida tu ila kila tukiwa tunapiga stori ye anaongelea kuhusu magari tu
Mara kazini mi peke yangu ndio sina gari, hivi najilundika nami nichukue hata IST
Nikamuambia kwa hiyo unanunua gari kuwaridhisha watu? Akasems suo hivyo tu gari ni muhimu sana kwangu, daladala ni kero.
Niksmshauri hiyo pesa afungue biashara asiitegemee sana ajira yake.
Kwani alinielewa?
Akaja akanunua gari mtaani maoni kibao
Siku zikapita ofisini wakafanya mabadiliko, mchizi kazi hana
Home nafasi hakuna, akisema gari asiendeshe kwasababu ya gharama ya wese bado anahitajika kutoa 3K ya parking kila day
Hicho ndio kitu kilichokuwa kina muuma mwisho wa siku ikamlazimu akalipaki huko nje ya mji kwa ndugu zake ili kujiweka sawa.
Watu wengi wanafanya vitu kwa mkumbo hususani vijana
Tunawashauri kwa kuwapa mawazo mbadala kwasababu ni ndugu zetu na tunawapendaNa vijana wa sasa hivi tukishauriana hivyo wewe unayetoa huo ushauri unaonekana mshamba, una mawazo ya kizee n.k na wao ndiyo wajanja!
Nikajisemea moyoni hawa watu wana matatizo! Au na mwengine anajichanga ananunua iphone macho 3. Ukimshauri unaonaje ungelitanguliza hivi na hivi kabla ya kufika huko? Ndiyo walewale wanataka waonekane na mimi nimo!
Mimi kitu ambacho kilichonifanya maisha niyachukulie serious kuna kipindi nilitumia hela vibaya nikasema ngoja nikomae mwenyewe kama masela wanavyokomaa! Khaaa! Ndugu yangu ilifika mpaka jioni sijala! Sikuwahi kulala na njaa wala kukosa nauli.
Ila siku hiyo asubuhi nilikula kidogo mchana deshi! Wakati Mtu akiniambia sijala nilikuwa namuonea huruma na kumsaidia. Lakini nilikuwa najiuliza; hivi inakuwaje mtu hajala?! Kiukweli nilikuwa nakosa jawabu.
Ilivyonikuta hivyo nikaona heee! Kumbe mambo ndo yanakuwa magumu hivyo! Kumbe kulala na njaa kunawezekana?! Aisee! Na sitaki kabisa kusikia au kupitia hicho kitu shida ni mbaya kishenzi! Na concentrate kwenye mambo ya msingi!
Ngoja niishie hapa nisije nikaharibu Uzi wa watu.
Andoid umetumia simu gani?
Isije ikawa oppo A5 kukarukia iphone13.
..Paid apps nyingi sana.
..Sharing au kuchukua kitu ni hectic mpaka itunes.
..Refresh rate ndogo compared kwa hata samsung ya zamani bado unasema diplay iko vizuri.
..Poor zoomed in photos.
..Same machine different body every year and dummies are excited everytime[emoji2]
..Made in China
Tunawashauri kwa kuwapa mawazo mbadala kwasababu ni ndugu zetu na tunawapenda
Thats why wakifeli lazima utatafutwa wewe tena uje umsaidie, maamuzi yao mabovu yanaweza kuwa na athari kwako pia.
iPhone users wasituone snitches sio wote mnahusika na huu ushamba ila walio wengi wanafanya vitu kwa mkumbo
Hamna kitu hio simu ni kwajili ya fashion tu... Uhondo wote upo simu za Android (Samsung, lg, nokia, sony, Google pixel, n.k na hata hizi simu za bei rahisi kama Tecno na infinix, japokuwa zimetengenezwa kwa vifaa vya bei rahisi bado nazo zina sifa nyingi muhimu kuzidi iphone).
-Iphone sio simu yenye kamera nzuri kuliko simu zote kama wengi wanavyo danganywa, Android ina simu zinakimbiza hii sekta, Simu kama google pixel zinamgaragaza iphone, hata wachina kama kina xiaomi wana camera bora kuzidi iphone.
-Cable za iphone zinachaji taratibu, zina kasi ndogo ya kuhamisha mafaili na zina ubora mdogo, walishupaza shingo mda mrefu lakini hatimae wamekubali kuanza kutengeneza simu zitazotumia usb cable za android.
-iphone haina tundu la earphones, ni mpaka uwe na earphones za kuchaji chaii kila mara.
-android kuna apps nyingi zaidi kuliko iphone,
-iphone haiwezi kurekodi simu unazopiga / kupokea
-iphone inatengenezewa vifaa vyake kibao na makampuni ya simu za android
-iphone haina apps za kutumia internet bure, kwa android kuna apps kama ha tunnel watu wanatumia internet bure bila vifurushi.
-iphone haina memori kadi, yani simu yako ikiungua au ikifa inaenda na mafaili, android hata simu ikipata hitilafu unabaki na kopi ya mafaili kwenye kadi.
-iphone ni ngumu kuhamisha mafaili kwenda kwa computer, mfano mrahisi simu za android ukitaka kuprint file unachomeka tu cable unahamisha file lakini iphone process kibao inabidi ubebe na flash.
-iphone haina radio, kusikiliza radio ni mpaka uwe na data, sasa sijui utasikilizaje kama huna data, ukienda sehemu haikamati internet ama internet inazimwa kipindi cha uchaguzi
n.k,,,,
pitia >> uzi huu B] utaona kwamba iphone ni kopo tu la gharama lisilo na utofauti na vile vimbwa vidogo vya mapambo haviwezi hata kumtisha paka ila vinauzwa milioni 3, hapo kuna mbwa anauzwa laki 8 kaoitia mafunzo, ana mwili mkubwa vipaka havisogei, anaweza kubweka ukadata, ana mbio, haumwi magonjwa hovyo hovyo, mwizi akiruka ukuta kayakanyaga, anakuchangamkia akikuona, n.k.
Nilitumia iphone 12 pro max kwa mwaka mmoja na nusu nikaona hakuna jipya kwangu nikampasia mwanangu wa kike na kurud kwenye Samsung S10 yangu ya siku zote nadhani ni kutokana na fact ya kuwa mimi si mpenz wa picha(Photogenic) japo siku hizi siwez kutumia simu yoyote ya Android bila kuwa na launcher ya iphone..
Mpaka uwe na iTunes kwenye icho kifaa kingine😅😅 kwanza tu ukiconnect tu Laptop then utafute picha au document flan ni utakesha.
Maana vinakuwaga havina majina
Au mie ndio siwezi?
Hujui tecno Camon 21 wewe, mbona hujaweka hata kaphoto, halafu iphone kila app inataka hela mara yutub, palysto
Baba mwenyewe nyumba umempa Kodi yake lkn?
Me si unajua weakness yangu ni namba na mahesabu, hizo namba namba zimenivurugaEm nitumie voice note nielewe chap Lenie
Hamna kitu hio simu ni kwajili ya fashion tu... Uhondo wote upo simu za Android (Samsung, lg, nokia, sony, Google pixel, n.k na hata hizi simu za bei rahisi kama Tecno na infinix, japokuwa zimetengenezwa kwa vifaa vya bei rahisi bado nazo zina sifa nyingi muhimu kuzidi iphone).
-Iphone sio simu yenye kamera nzuri kuliko simu zote kama wengi wanavyo danganywa, Android ina simu zinakimbiza hii sekta, Simu kama google pixel zinamgaragaza iphone, hata wachina kama kina xiaomi wana camera bora kuzidi iphone.
-Cable za iphone zinachaji taratibu, zina kasi ndogo ya kuhamisha mafaili na zina ubora mdogo, walishupaza shingo mda mrefu lakini hatimae wamekubali kuanza kutengeneza simu zitazotumia usb cable za android.
-iphone haina tundu la earphones, ni mpaka uwe na earphones za kuchaji chaii kila mara.
-android kuna apps nyingi zaidi kuliko iphone,
-iphone haiwezi kurekodi simu unazopiga / kupokea
-iphone inatengenezewa vifaa vyake kibao na makampuni ya simu za android
-iphone haina apps za kutumia internet bure, kwa android kuna apps kama ha tunnel watu wanatumia internet bure bila vifurushi.
-iphone haina memori kadi, yani simu yako ikiungua au ikifa inaenda na mafaili, android hata simu ikipata hitilafu unabaki na kopi ya mafaili kwenye kadi.
-iphone ni ngumu kuhamisha mafaili kwenda kwa computer, mfano mrahisi simu za android ukitaka kuprint file unachomeka tu cable unahamisha file lakini iphone process kibao inabidi ubebe na flash.
-iphone haina radio, kusikiliza radio ni mpaka uwe na data, sasa sijui utasikilizaje kama huna data, ukienda sehemu haikamati internet ama internet inazimwa kipindi cha uchaguzi
n.k,,,,
pitia >> uzi huu B] utaona kwamba iphone ni kopo tu la gharama lisilo na utofauti na vile vimbwa vidogo vya mapambo haviwezi hata kumtisha paka ila vinauzwa milioni 3, hapo kuna mbwa anauzwa laki 8 kaoitia mafunzo, ana mwili mkubwa vipaka havisogei, anaweza kubweka ukadata, ana mbio, haumwi magonjwa hovyo hovyo, mwizi akiruka ukuta kayakanyaga, anakuchangamkia akikuona, n.k.
‘I feel you’ mkuu😂Aisee kumbe🤣🤣hapa nakuunga mkono mkuu,yaani imefikia kipindi mpk nikiona display ya Android nakasirika eti,hata screenshot za Chart za WhatsApp naenjoy nikitumiwa ambazo ni dark theme au za WhatsApp ya IOS😂😂😂na hata simu yangu kwa ujumla ni lazima iwe na Launcher ya iphone hili kuipa muonekano wa iphone bila hivyo naboreka sana yaani
Akibisha alete factHamna kitu hio simu ni kwajili ya fashion tu... Uhondo wote upo simu za Android (Samsung, lg, nokia, sony, Google pixel, n.k na hata hizi simu za bei rahisi kama Tecno na infinix, japokuwa zimetengenezwa kwa vifaa vya bei rahisi bado nazo zina sifa nyingi muhimu kuzidi iphone).
-Iphone sio simu yenye kamera nzuri kuliko simu zote kama wengi wanavyo danganywa, Android ina simu zinakimbiza hii sekta, Simu kama google pixel zinamgaragaza iphone, hata wachina kama kina xiaomi wana camera bora kuzidi iphone.
-Cable za iphone zinachaji taratibu, zina kasi ndogo ya kuhamisha mafaili na zina ubora mdogo, walishupaza shingo mda mrefu lakini hatimae wamekubali kuanza kutengeneza simu zitazotumia usb cable za android.
-iphone haina tundu la earphones, ni mpaka uwe na earphones za kuchaji chaii kila mara.
-android kuna apps nyingi zaidi kuliko iphone,
-iphone haiwezi kurekodi simu unazopiga / kupokea
-iphone inatengenezewa vifaa vyake kibao na makampuni ya simu za android
-iphone haina apps za kutumia internet bure, kwa android kuna apps kama ha tunnel watu wanatumia internet bure bila vifurushi.
-iphone haina memori kadi, yani simu yako ikiungua au ikifa inaenda na mafaili, android hata simu ikipata hitilafu unabaki na kopi ya mafaili kwenye kadi.
-iphone ni ngumu kuhamisha mafaili kwenda kwa computer, mfano mrahisi simu za android ukitaka kuprint file unachomeka tu cable unahamisha file lakini iphone process kibao inabidi ubebe na flash.
-iphone haina radio, kusikiliza radio ni mpaka uwe na data, sasa sijui utasikilizaje kama huna data, ukienda sehemu haikamati internet ama internet inazimwa kipindi cha uchaguzi
n.k,,,,
pitia >> uzi huu B] utaona kwamba iphone ni kopo tu la gharama lisilo na utofauti na vile vimbwa vidogo vya mapambo haviwezi hata kumtisha paka ila vinauzwa milioni 3, hapo kuna mbwa anauzwa laki 8 kaoitia mafunzo, ana mwili mkubwa vipaka havisogei, anaweza kubweka ukadata, ana mbio, haumwi magonjwa hovyo hovyo, mwizi akiruka ukuta kayakanyaga, anakuchangamkia akikuona, n.k.
Taja ambazo unalipia hafu tulinganishe na androidUnasema usichokijua mkuu nyingi zipo free
Ukimuona mtu anakomaa Kwa nguvu zote kuishusha iPhone dhidi ya android cha Kwanza mchukulie kama mwehu alaf badae ndo muendelee na maongezi... Huwez kutengeneza brand yako ikawa ya thaman dunia nzima Kwa kubahatishaMkuu uzi wangu hujausoma na kuelewa Pia hiyo iphone inayochagi pole pole labda Toleo la muda
Pia kwa mfanyabiashara iphone ni kitu kingine iOS ina sifa nyingi kwenye apps Kama insta tu
Kwa iPhone utasponse mpaka reels rudi android yako Hakuna hiyo features
Kama mfanya biashara nunua iPhone piga kazi android ni usiku tu
Hata templates imenyimwa sana
yes mkuu miaka ya 2002 hivimambo ya BBM, ila mwaka nadhani umesahau, mimi niliimiliki 2008.
Kwenye ishu ya gari hapo kuna mwanangu iliwahi mtokea
Alikuwa mwajiriwa na mshahara wake ulikuwa wakawaida tu ila kila tukiwa tunapiga stori ye anaongelea kuhusu magari tu
Mara kazini mi peke yangu ndio sina gari, hivi najilundika nami nichukue hata IST
Nikamuambia kwa hiyo unanunua gari kuwaridhisha watu? Akasems suo hivyo tu gari ni muhimu sana kwangu, daladala ni kero.
Niksmshauri hiyo pesa afungue biashara asiitegemee sana ajira yake.
Kwani alinielewa?
Akaja akanunua gari mtaani maoni kibao
Siku zikapita ofisini wakafanya mabadiliko, mchizi kazi hana
Home nafasi hakuna, akisema gari asiendeshe kwasababu ya gharama ya wese bado anahitajika kutoa 3K ya parking kila day
Hicho ndio kitu kilichokuwa kina muuma mwisho wa siku ikamlazimu akalipaki huko nje ya mji kwa ndugu zake ili kujiweka sawa.
Watu wengi wanafanya vitu kwa mkumbo hususani vijana
Sinunui simu inayozidi bei laki tatu kwa Sasa, na uwezo wa kununuwa iPhone ninao.Launcher ya iphone ni very unique na ni impressive hawa wazee wa android waache wateseke
Nunua iPhone ufaidi sio mpaka ukaroge