Ukiwaambia iPhone users hilo suala watakushambulia na maneno ya kejeli[emoji38][emoji38]Kipindi cha nyuma inatoka iphone 8 imetoka, mwishoni mwaka 2017 hivi nkabahatika kuishika iphone 8. Nilikaa nayo kwa muda mchache sana na kitu pekee nilichopenda pale ni security tu japo haikutofautiana sana na Samsung S8.
Nikaachana na iphone nikarudi samsung. Iphone ni overated tu, ina maudhi na kero nyingi saaana.
Iphone hata ikiwa refurb inakupa guarantee ya kukaa nayo hata miaka 10, kitu ambacho kwa Samsung na brands zingine za android ni ngumu unless ununue iwe mpya kabisa ndani ya box.Ukiwaambia iPhone users hilo suala watakushambulia na maneno ya kejeli[emoji38][emoji38]
Baada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari
BAADA YA KUJUA SASA
Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli.
RAHA ZILIZOPO IPHONE
Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android
Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo
Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline
Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)
Vingine tuongezee
TumiaKuna simu nyingi kali tu kuliko iphone
Lakini binafsi naziona hazifai kwasababu ya kuizoea ioS
Sijui ndo iyo mnaita “iOS effect” [emoji2][emoji2]
Labda kwa sababu nmeanza kutumia muda kidogo enzi za 5s.
Kwa tusiopenda mambo mengi ioS ni bora
Kiukweli nmejaribu mara 2 kuhama apple nlianza na google pixel 6a nikajaribu Nothing phone…lakini wapi ilibidi nirudi tu nyumbani..
Ukizoea iOS ni ngumu sana kujinasua!labda mnishauri nijaribu simu gani ambayo itanifanya nihame huku maana nmekuwa teja kwakeli[emoji23]
Hivi HTC ziliishia wapi??
iphone ipo limited, huwezi kutumia apps za ziada kama hatunnelNatumia Napsternet Tv kwenye iOS file la airtel jipange kwenye hizi medani bado kinda
Umekariri ha tunnel tu?iphone ipo limited, huwezi kutumia apps za ziada kama hatunnel
Huu ndo ukweli wengi wanaangukia hapa, kuna dogo mmoja home alidanga vilivyo ili apate iphone, na lengo hasa ni kupandisha dau kwenye kuhongwa, ni masikitiko aliipata iphone 7😂😂basi anavyoringa huyoNilichogundua simu hizo wanaopenda kuwa nazo wengi ni za malaya na machoko ,wanaamini ukimiliki hz simu wanavalue biashara zao za ukahaba
my point >> ni bora zaidi kuwa na alternatives nyingi.Umekariri ha tunnel tu?
Au nikuwekee mzigo humu ukapige kazi na ushamba wako
Hujawahi kutumia hizo apps kwenye iOS so acha kuturusha mate hovyo zipo nying naweza nikakuwekea screenshot hapa ila nimekupa iyo Napsternet tv ambayo ni popolur sana We umekazia ha tunnelmy point >> ni bora zaidi kuwa na alternatives nyingi.
Tukiachana na ha tunnel, bado iphone haina apps zilizowahi kutumia internet bure kama wire tunnel, vpn force, n.k.
Kumewahi kuwa na mitelezo mingi ya kutumia internet bure kwa wenye simu za android huku wenye iphone wanapitwa na kamseleleko.
Hapo kwenye kupromote reels naomba maelekezoBaada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari
BAADA YA KUJUA SASA
Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli.
RAHA ZILIZOPO IPHONE
Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android
Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo
Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline
Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)
Vingine tuongezee
Security is overrated..Kipindi cha nyuma inatoka iphone 8 imetoka, mwishoni mwaka 2017 hivi nkabahatika kuishika iphone 8. Nilikaa nayo kwa muda mchache sana na kitu pekee nilichopenda pale ni security tu japo haikutofautiana sana na Samsung S8.
Nikaachana na iphone nikarudi samsung. Iphone ni overated tu, ina maudhi na kero nyingi saaana.
Ni kweli mkuu, balaa la android si dogo, android inakupa kila kitu unachotaka.Security is overrated..
Mtu huna hata cha kuficha lakini unadandia treni la security security.
Inakupa roho inapendaLast year Dec, I bought Iphone 14 Pro Max, Space Black 512 GB, 6 RAM hii simu iacheni jamani..
Duuh toka iPhone 2 mkuu unaingia kwenye maada nikuambie tu hapa hapakufai kiukweliUmekuja lini mjini?
Nilianza na iPhone2 hapo zama za kale we upo nanjilinji huko unalima alizeti,sijawahi kupenda Iphone toka hapo ni mateso matupu.
Basi hongera unaejua mkuuNimeishia kusoma hapa.
Kwa sababu hujui kutumia simu, Naomba nikupe pole.
Iphone unyama mwingine na hawana maneno mengiUkiwaambia iPhone users hilo suala watakushambulia na maneno ya kejeli[emoji38][emoji38]
Iphone 2 ilikua simu ya Iphone ya mwisho kutumia.Duuh toka iPhone 2 mkuu unaingia kwenye maada nikuambie tu hapa hapakufai kiukweli
Endelea na techno yako