Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,560
- 7,914
Serikali hii imeshindwa kabisaa kutibu matatizo ya watu wake na sasa kila anejaribu kuongea anatekwa kama kuku hii ni hatari kwa taifa na mpaka sasa kuna watu wanaenda kumuongezea kimama huyu miaka mingine mitano
Niwaambie tu baada ya miaka mitano watu weengi sana watauwawa na kutekwa watu wengi sana watakufa niwaambie tu tutauwawa wengi mno kwenye utawala huu!
Niwaambie tu baada ya miaka mitano watu weengi sana watauwawa na kutekwa watu wengi sana watakufa niwaambie tu tutauwawa wengi mno kwenye utawala huu!