Mkuu wakishindwa watawaita ,kwasasa bado hawashindwa ,ispokua wewe umeshindwa subraSubira wakati watu wana uawa kila siku? Serikali inaogopa nini kkuita wachunguzi wa kimataifa? Jibu slwali
Tumeona Kibiti baada ya mauaji kuanza virtually vikosi vyote vote viliwakilishwa huko na kukimbizana na kuwauwa suspects hadi MsumbijiYaleyale ya ku isolate matukio,kila siku,ni Walewale wengine nyani
Msitumie sasa hiyo nafasi kumalizana nyinyi kwa nyinyi,kisingizio mkulu alisema jambo,utoto huo"Nashangaa sana hawa wasaliti (wapinzani) wa nchi hii kuwa bado wanaendelea ku survive (kuishi)".... By Jpm
Watu wanakufa , tena wasio na hatia, kila kukicha, mbona enzi ya kikwete hayakuwepo! Harakati za chadema /upinzani zimeanza baada ya magufuli??.. hamtaki upinzani, thats it. And you do the biggest mistakes this way of killing oppositionn... Sema ni hivi, mother nature controls everything. Just a matter of a time, the way ccm does it soon or later will get into saturation over their evil ways, mother nature will show you how natural intelligence overtakes everything. Just a matter of time!Mkuu ni maoni yako ,naheshimu
Uchunguzi unaendelea ,kama unataarifa yoyote kuhusiana na tukoi hilo,peleka maelezo yako sehemu husikaSwali ni moja tu,nani amemuua aquilina?
Kwanini hawashikwi? Waliotaka kumwua Nape mchana kweupe wakitumia gari toka ..... kwanini hawajashikwa? Wacha unafiki kwenye uhai wa watu!! Hata shetani atakushangaaHeshima kwenu wakuu,
Sasa hivi Taifa lipo kwenye sintofahamu kutokana na mauaji na utekaji wa watanzaia. Na Watu wengi wanaamini Polisi na Usalama wa Taifa ndio watekaji na wapiga risasi ( Watu wasiojulikana).
Sasa nashauri ili vyombo hivi muhimu vijisafishe. Watoe tamko hadharani kwamba hawahusiki na waseme nani anahusika. Waazishe operation na Kampeni za kutafuta hawa Watu wasiojulikana.
Vinginevyo hii Nchi itakuwa umevamiwa. Ukute ni watu wanatuchafua kama nchi ili Tanzania ionekane sio salama.
Kama Taifa tuungane kuwafichua hawa watu wasiojulikana ili kuvisafisha vyombo vyetu vya Usalama. Tushikamane kufichua wote wanaotenda maovu.
Akwilina, Mawazo wametangulia mbele ya haki. Kuna wenzetu wameokotwa kwenye viroba Coco beach na wengine Mto Ruvu. Lissu na wengine wengi wameponea chupuchupu. Kuna waliomwagiwa tindikali.
Kuna Maasikali wengi na Wanakijiji wengi wa Ikwiriri mkoani Pwani wameuawa.
Hii kitu viongozi hawaoneshi kusikitishwa. Kusikitika ni pamoja na Kujiuzulu kuonesha uwajibikaji.
Siamini Kama Polisi. Usalama wa Taifa au CHADEMA ndio wanaohusika na haya Mauaji ya Akwilina.
Arusha kwenye mkutano wa Chadema bomu lililipuka na kuua watu. Kanisani Arusha bomu lililipuka na kuua watu. Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Wameuawa Polisi 10 Viongozi wa vijiji 30 na Raia 3 huko Kibiti,Ikwiriri na Mkuranga..Wanaharakati kimyaaa!
TANZIA: Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro
Hawa watu wanaotugombanisha tuwafichue. Na haya yanayoendelea yasitugawe bali tushikamane kushinda fitina. Pamoja tunaweza
Kama taifa tujisafishe.
Sasa yatosha.
Nakuabaliana na wewe ...kwa professional kwa silaha hawezi kutumia risasi 30 na asitimize lengo la 'kumpoteza' mtu au kitu..lakini after a second thought inawezekana professional huyo akatumia risasi 30 lengo likiwa siyo kumpoteza' mtu bali as a warning...Mtu aliyepitia mafunzo ya kutumia silaha hawezi kutumia risasi 30+ kwenye short range halafu akaishia kumpapasa mtu kwenye nyonga na miguu.Never
Hata kama angekuwa anazirusha kwa mikono Tu hiyo idadi mngezika mtu.
Kwa snipers,mwili wa binadamu Ni kichwa Tu akikutwanga miguu anahesabu kakukosa.
Wanaoitakia mabaya nchi yetu.Wewe unaamini nani anayeteka, kupiga watu risasi?
Watu watahangaika sana watekaji na wauwaji ni haohao chadema wabadhani kwakufanya hivi serikali irapakwa matope wapate pa kutokea kumbe wanajichimbia kaburi siku wanachama wao wakijua watagawana mbao na hao viongozi wao uchwaraHeshima kwenu wakuu,
Sasa hivi Taifa lipo kwenye sintofahamu kutokana na mauaji na utekaji wa watanzaia. Na Watu wengi wanaamini Polisi na Usalama wa Taifa ndio watekaji na wapiga risasi ( Watu wasiojulikana).
Sasa nashauri ili vyombo hivi muhimu vijisafishe. Watoe tamko hadharani kwamba hawahusiki na waseme nani anahusika. Waazishe operation na Kampeni za kutafuta hawa Watu wasiojulikana.
Vinginevyo hii Nchi itakuwa umevamiwa. Ukute ni watu wanatuchafua kama nchi ili Tanzania ionekane sio salama.
Kama Taifa tuungane kuwafichua hawa watu wasiojulikana ili kuvisafisha vyombo vyetu vya Usalama. Tushikamane kufichua wote wanaotenda maovu.
Akwilina, Mawazo wametangulia mbele ya haki. Kuna wenzetu wameokotwa kwenye viroba Coco beach na wengine Mto Ruvu. Lissu na wengine wengi wameponea chupuchupu. Kuna waliomwagiwa tindikali.
Kuna Maasikali wengi na Wanakijiji wengi wa Ikwiriri mkoani Pwani wameuawa.
Hii kitu viongozi hawaoneshi kusikitishwa. Kusikitika ni pamoja na Kujiuzulu kuonesha uwajibikaji.
Siamini Kama Polisi. Usalama wa Taifa au CHADEMA ndio wanaohusika na haya Mauaji ya Akwilina.
Arusha kwenye mkutano wa Chadema bomu lililipuka na kuua watu. Kanisani Arusha bomu lililipuka na kuua watu. Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Wameuawa Polisi 10 Viongozi wa vijiji 30 na Raia 3 huko Kibiti,Ikwiriri na Mkuranga..Wanaharakati kimyaaa!
TANZIA: Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro
Hawa watu wanaotugombanisha tuwafichue. Na haya yanayoendelea yasitugawe bali tushikamane kushinda fitina. Pamoja tunaweza
Kama taifa tujisafishe.
Sasa yatosha.
Uchunguzi unaendelea ,kama unataarifa yoyote kuhusiana na tukoi hilo,peleka maelezo yako sehemu husika
Heshima kwenu wakuu,
Sasa hivi Taifa lipo kwenye sintofahamu kutokana na mauaji na utekaji wa watanzaia. Na Watu wengi wanaamini Polisi na Usalama wa Taifa ndio watekaji na wapiga risasi ( Watu wasiojulikana).
Sasa nashauri ili vyombo hivi muhimu vijisafishe. Watoe tamko hadharani kwamba hawahusiki na waseme nani anahusika. Waazishe operation na Kampeni za kutafuta hawa Watu wasiojulikana.
Vinginevyo hii Nchi itakuwa umevamiwa. Ukute ni watu wanatuchafua kama nchi ili Tanzania ionekane sio salama.
Kama Taifa tuungane kuwafichua hawa watu wasiojulikana ili kuvisafisha vyombo vyetu vya Usalama. Tushikamane kufichua wote wanaotenda maovu.
Akwilina, Mawazo wametangulia mbele ya haki. Kuna wenzetu wameokotwa kwenye viroba Coco beach na wengine Mto Ruvu. Lissu na wengine wengi wameponea chupuchupu. Kuna waliomwagiwa tindikali.
Kuna Maasikali wengi na Wanakijiji wengi wa Ikwiriri mkoani Pwani wameuawa.
Hii kitu viongozi hawaoneshi kusikitishwa. Kusikitika ni pamoja na Kujiuzulu kuonesha uwajibikaji.
Siamini Kama Polisi. Usalama wa Taifa au CHADEMA ndio wanaohusika na haya Mauaji ya Akwilina.
Arusha kwenye mkutano wa Chadema bomu lililipuka na kuua watu. Kanisani Arusha bomu lililipuka na kuua watu. Mlipuko mkubwa watokea kwenye Kanisa Katoliki Arusha, watu kadhaa wajeruhiwa
Wameuawa Polisi 10 Viongozi wa vijiji 30 na Raia 3 huko Kibiti,Ikwiriri na Mkuranga..Wanaharakati kimyaaa!
TANZIA: Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo auawa kikatili mjini Katoro
Hawa watu wanaotugombanisha tuwafichue. Na haya yanayoendelea yasitugawe bali tushikamane kushinda fitina. Pamoja tunaweza
Kama taifa tujisafishe.
Sasa yatosha.
Kwaakili ya kawaida sana,jambo likikushinda huwezi kukataa usaidizi.Ukiona mtu anakataa usaidizi ujuwe anaiweza kazi yake.Mhalifu anaeijua vizuri kazi yake ni vigumu polisi kumtia nguvuni au kwa lugha rahisi kuna wakati polisi wanashindwa na wakishindwa haimaanishi wao ndio watendaji wameshindwa tu.
Naamini kama polisi wasingeuwawa kibiti tungeaminishwa tis au polisi ndio wanaoua watu kibiti.
Mkuu hata mimi nakuona pumbavu ulietukuka kwa haya maelezo yako,sas sijui upumbavu wako ni wa kujifunza au wa kurithi ?Serikali inayohujumiwa, inaogopa nini kukubali vyombo vya kimataifa vije vifanye uchunguzi huru?
Duniani kuna kipaumbele gani zaidi ya uhai wa binadamu?
Ninaomba hivi. Kama unaongea haya maneno kwa sababu ya upumbavu, Mungu akusamehe.
Lakini kama unaongea hivi kwa sababu unalenga kupotosha ukweli kwa makkusudi, Mungu anisikie. Likupate hili jambo katika mtu wako wa karibu unayemtegemea kwa kila kitu, halafu serikali isimkamate muuaji, wala isifanye uchnguzi wowote wa maana, na wewe useme hakkuna sababu ya kkuleta wachunguzi wa nje kwa kuwa niserikali inahujumiwa.
Pumbavu sana!
Rudia kwa utaratibu kusoma neno kwa neno uone jinsi ubongo wako usivyofanya kaziMe nilifikiri una shaka na serikali kukataa kuruhusu wa wachunguzi huru wa wachunguzi wa Scotland a na FBI. Eti una shaka na wanaouawa. Aliyekutuma atakuwa Bashite tu ndio anaweza wa kuwa na akili fivyo kiasi hiki. Amejficha kwenye shamba la Karanga anahisi haonekani.
Serikali haina lakukwepa kwenye haya yanayotokeaa....yote yana maraka za Magu kupitia kwa bashite.
Mpaka sasa haijathibitishwa muuaji ni nani unafanya predictions,ni kosa,fahamu.Mtoa post hii,tumia akili ya kuzaliwa na sio utumie makamasi,
Hivi wewe kama mzazi mwema,unaweza kuua wanao halafu ukaanza kumlaumu jirani yako kuwa ndiye anayeua watoto wako?