Watu wengi hawana uelewa kuhusu UKIMWI

Mimi sio Daktari Mtarajiwa ,mfamasia .
Daah! nimesikitika kiasi

Mbona wafamasia wapogo nondo, wafamasia ni watu wa mashule hatarihatari... ma utendajikazi [MOA], ma umbo SAR [Structure Activity Relationship, siyo Semi Automatic Riffle wewe🤦‍♂️😂😂] na data nzitonzito.

Jitahidi siku nyingine ukijitambulisha kwa profesheni uwe umeitendea kazi kwelikweli hiyo mada husika.
 
Kama ukimwi ungekuwa unaambukizwa kwa kujamiiana nadhani Leo kusingekuwa na binadamu juu ya aridhi.

Fikiria je umewahi kusikia habari za ukimwi Uingereza,Marekani,ujerumani nk nk.

Hii ni biashara ya wazungu na walichagua kusini mwa jangwa la sahara.(Afrika).
Ukimwi ni upungufu WA kinga mwilini ,


Naomba uniambie upungufu WA kinga mwilini unaambukizwa vipi kutoka Kwa MTU mmoja kwenda Kwa mwingine

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom