Watu wengi hawana sehemu za siri!

Watu wengi hawana sehemu za siri!

Weltmeisterschaftung

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2014
Posts
364
Reaction score
250
Ona kwanza ulivyotoa macho...unashangaa nini sasa?!! Kwani hujui kwamba "siri" ni ya mtu mmoja wakizidi sana wawe wawili tu baaass, sasa hizi sehemu zetu tunazoziita kuwa ni za siri ni watu wangapi wanazozijua mpaka sasa?!!! ni wewe mmoja tu au wawili (na mwenza wako), kama hadi mchepuko wako naye anazijui tayari, ni watatu hao na zime-disqualify tena kuwa za siri!!!
YANGU NI HAYO TU!!!
cc:miss chagga,matola,miss nerdy,watu8,lara1.
 
Ona kwanza
ulivyotoa macho...unashangaa nini sasa?!! Kwani hujui kwamba "siri" ni
ya mtu mmoja wakizidi sana wawe wawili tu baaass, sasa hizi sehemu zetu
tunazoziita kuwa ni za siri ni watu wangapi wanazozijua mpaka sasa?!!!
ni wewe mmoja tu au wawili (na mwenza wako), kama hadi mchepu wako naye
anazijui tayari, ni watatu hao na zime-disqualify tena kuwa za siri!!!
YANGU NI HAYO TU!!!
cc:miss chagga,matola,miss nerdy,watu8,lara1.

mm yangu bado ya siri na hata wa pili haijuiiiiii
 
sehemu za siri kitu gani,
ata simu za skuizi zinasehemu za siri, ukishaingiza namba za siri tu, unaziona.....
 
Join Date : 27th August 2014
Posts : 33
Rep Power : 308
Likes Received 9

Likes Given 0
 
Join Date : 27th August 2014
Posts : 33
Rep Power : 308
Likes Received 9

Likes Given 0

ACHA KUKURUPUKA NA KUANDIKA NON-SENSE THREAD
Joining date haina uhusiano na alichoposti...he actually has a point..
 
Sehem za siri wapi? Wakati ulipokua mdogo ulikua unazining'iniza kama kengere watu kibao wamezichabo?!!!!!!!
 
kwa hiyo tuviiteje sasa? ila vitabaki kuwa vya siri kwa sababu havikai wazi
 
kama tatizo ni neno..iende jukwaa la lugha..na kama tatizo ni watu..basi neno liendelee kubaki...
 
kwa hiyo tuviiteje sasa? ila vitabaki kuwa vya siri kwa sababu havikai wazi
Mie naona tuviite viungo vya uzazi badala ya sehemu za siri..coz sio vya siri tena. Naenda kuoa huku nishavuana na watu ishirini, vina usiri gani, au kwa vile tunavivalia chupi?..teh!
 
Mie naona tuviite viungo vya uzazi badala ya sehemu za siri..coz sio vya siri tena. Naenda kuoa huku nishavuana na watu ishirini, vina usiri gani, au kwa vile tunavivalia chupi?..teh!

hahahaaaaa...sawa sawa mkuu!!!
 
Back
Top Bottom