ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,740
- 42,172
- Thread starter
-
- #61
Una hoja maisha sio kisiwa sometimes tunaotaji watuBinafsi mimi ninapenda kuwa na circle ndogo ya genuine people ila sometimes nimegundua maisha hayako hivyo.
Hautapatana na kila mtu, na pia hata anayekufanyia hiyana pia anakupa funzo maishani...
Tujifunze unconditional love. Simaanishi kukubali ana na kila mtu, bali kujua mtu anakuja akiwa na demages zipo
ShikamooFact
Sasa nifungue uzi wa nini na wakati Mada yenyewe ndo inalenga kile na maanisha?Una ongelea mleta mada au mada iliyopo mezani ?
Ukitaka kuniongelea mimi binafsi fungua uzi kwa ajili hiyo
Hapa ningependa fact sio majungu period !
Sio uchaguzi necessarily ila kujua namna kila mtu an akufundisha nini. Maana hata mbaya wako anafaida piaUna hoja maisha sio kisiwa sometimes tunaotaji watu
Unabaki uchaguzi lundo la wengi hopeless au wachache genuine
Mawazo yake yameniwakalisha vizur kabisaShikamoo
Utaongeza chochote kwenye hiyo fact ya mwenzio?
Nilidhani umebadilikaSasa nifungue uzi wa nini na wakati Mada yenyewe ndo inalenga kile na maanisha?
Ni kweli lakini hakuna haja yakujaza watu negative mafunzo utajifunza kwa kuwaona kwa mbali sio lazima uwakumbatieSio uchaguzi necessarily ila kujua namna kila mtu an akufundisha nini. Maana hata mbaya wako anafaida pia
Mbona unamaneno magumu hivyo😁😁Nilidhani umebadilika
Ila wapi tabia ni kama kalio aisee
Hahahahaha Nimecheka sana.Nilidhani umebadilika
Ila wapi tabia ni kama kalio aisee
Yaani akiniona lazima achachawe 🙌🙌Mbona unamaneno magumu hivyo😁😁
Exactly, ila ukikosolewa hupaswi kuignore that part... Wengi hukimbia ukweli waki dhani eti wako sawa. Kwenye maisha you'll need them ili ukuweNi kweli lakini hakuna haja yakujaza watu negative mafunzo utajifunza kwa kuwaona kwa mbali sio lazima uwakumbatie
Kwenda zako mwana hidaya wewe, who the heck do you think you are? 😂 Mimi napenda kuku challenge ego yako hiyooYaani akiniona lazima achachawe 🙌🙌
Sawa sawa mkuuMawazo yake yameniwakalisha vizur kabisa
Kwa kuongezea tu kikubwa ni kumtreat kila aliyekuwa karibu yako kutokana na jinsi unavyomuelewa,ukiwa na marafiki ambao ni Vichomi basi unaishi nao kwa tahadhari na ukiwa na homies unawasogeza karibu zaidi,mwisho wa siku maisha yanasonga mbele
Furaha yako ni kukera wengine then unaita challenge?Hahahahaha Nimecheka sana.
Huwa napenda kukuona tu ukiwa triggered.
Hata hivyo nimebadilika my g.
Wengine hukimbia ukweli hadharani lakini wanajirekebisha kimya kimyaExactly, ila ukikosolewa hupaswi kuignore that part... Wengi hukimbia ukweli waki dhani eti wako sawa. Kwenye maisha you'll need them ili ukuwe
We jamaa una nongwa sana nani kasema tunashida?ShesRise_1 mjadiliane na huyo mwamba mtakavyo jadiliana ila sitopenda kukuona umepigwa ban,so be careful
Nikuambie kitu?Wengine hukimbia ukweli hadharani lakini wanajirekebisha kimya kimya
Umetisha sana ujue😂😂Sawa sawa mkuu
Kuna code umeweka hapo lakini 😀🤣
Leo tu nimemjibu hua nampuuzaShesRise_1 mjadiliane na huyo mwamba mtakavyo jadiliana ila sitopenda kukuona umepigwa ban,so be careful