Watu wasiojulikana

Mar 20, 2022
27
46
Ni kipi kilijificha nyuma ya watu wasuojulikana?

Tumeshuhudia matukio mengi ya kutisha na kuogofya ndani ya ardhi ya Tanzania kama:

~ Mauaji ya Kibiti.

~ Mapigano ndani ya mapango ya Amboni.

Lakini haya yote yalimezwa na watu wasiojulikana.

Swali: Je, ni nani alikua nyuma ya hili?

Mada mezani.
 
Ni kipi kilijificha nyuma ya watu wasuojulikana?

Tumeshuhudia matukio mengi ya kutisha na kuogofya ndani ya ardhi ya Tanzania kama:

~ Mauaji ya Kibiti.

~ Mapigano ndani ya mapango ya Amboni.

Lakini haya yote yalimezwa na watu wasiojulikana.

Swali: Je, ni nani alikua nyuma ya hili?

Mada mezani.
Kwani kiranja mkuu alikuwa nani?
 
Ni kipi kilijificha nyuma ya watu wasuojulikana?

Tumeshuhudia matukio mengi ya kutisha na kuogofya ndani ya ardhi ya Tanzania kama:

~ Mauaji ya Kibiti.

~ Mapigano ndani ya mapango ya Amboni.

Lakini haya yote yalimezwa na watu wasiojulikana.

Swali: Je, ni nani alikua nyuma ya hili?

Mada mezani.
Kuna two types za hawa watu, kuna watu wasiojulikana na 'wasiojulikana'!, unawazungumzia wepi?, Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
P
 
Ni kipi kilijificha nyuma ya watu wasuojulikana?

Tumeshuhudia matukio mengi ya kutisha na kuogofya ndani ya ardhi ya Tanzania kama:

~ Mauaji ya Kibiti.

~ Mapigano ndani ya mapango ya Amboni.

Lakini haya yote yalimezwa na watu wasiojulikana.

Swali: Je, ni nani alikua nyuma ya hili?

Mada mezani.

Hao si watu wasiojulikana.ni magaidi wakisaidiwa na imani fulani kutoka iran.

Walianzia kenya wakaona kuja huku waliposhindwa wapo mozambique.
nenda kalipe kule telegram usome vizuri story ya buyombe
 
Ni kipi kilijificha nyuma ya watu wasuojulikana?

Tumeshuhudia matukio mengi ya kutisha na kuogofya ndani ya ardhi ya Tanzania kama:

~ Mauaji ya Kibiti.

~ Mapigano ndani ya mapango ya Amboni.

Lakini haya yote yalimezwa na watu wasiojulikana.

Swali: Je, ni nani alikua nyuma ya hili?

Mada mezani.
Kuuund lilipewa carz maalumu kuchafua Siri Kali ya Pombe kwa kufanya mauag ya sili pia walianzisha wanaharakat wa ndani na nje ya aridh wadanganyika Ili kuaminisha jamii kuwa siricarli inauwa watu ivi fikiria kwa viroba vilivyo kuwa vinasemwa hatukuwahi sikia mtz yoyote akisema ndg zake wamepotea

Mipango Yao ilikuwa kama ifuatavyo
1.uwepo wa tasisi ya kigogo wahusika wake baadhi walikuwa karibu na rahisi wa awamu five
2.pia akina zto waliwezeshwa kusafiri kwa ajili ya kumsiriba jpm
3.mpango wa ukuta ulilatibiwa Ili kuleta sitofahamu kwa nchi ya wadanganyika ndo maana mratibu wa mapindz hayo alifurahi sana alipomuona mwezeshaji wake adi akafanya nae huko ugaibuni
 
Yule iblis kuu ameshasepa nao
Ni kipi kilijificha nyuma ya watu wasuojulikana?

Tumeshuhudia matukio mengi ya kutisha na kuogofya ndani ya ardhi ya Tanzania kama:

~ Mauaji ya Kibiti.

~ Mapigano ndani ya mapango ya Amboni.

Lakini haya yote yalimezwa na watu wasiojulikana.

Swali: Je, ni nani alikua nyuma ya hili?

Mada mezani.
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
Hao si watu wasiojulikana.ni magaidi wakisaidiwa na imani fulani kutoka iran.

Walianzia kenya wakaona kuja huku waliposhindwa wapo mozambique.
nenda kalipe kule telegram usome vizuri story ya buyombe
 
Kuuund lilipewa carz maalumu kuchafua Siri Kali ya Pombe kwa kufanya mauag ya sili pia walianzisha wanaharakat wa ndani na nje ya aridh wadanganyika Ili kuaminisha jamii kuwa siricarli inauwa watu ivi fikiria kwa viroba vilivyo kuwa vinasemwa hatukuwahi sikia mtz yoyote akisema ndg zake wamepotea

Mipango Yao ilikuwa kama ifuatavyo
1.uwepo wa tasisi ya kigogo wahusika wake baadhi walikuwa karibu na rahisi wa awamu five
2.pia akina zto waliwezeshwa kusafiri kwa ajili ya kumsiriba jpm
3.mpango wa ukuta ulilatibiwa Ili kuleta sitofahamu kwa nchi ya wadanganyika ndo maana mratibu wa mapindz hayo alifurahi sana alipomuona mwezeshaji wake adi akafanya nae huko ugaibuni
Kwa hiyo JPM alikuwa Rais dhaifu sana kukubali makundi ya kuhujumu utawala wake.
 
Back
Top Bottom