Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,253
- 1,028
Halafu kulikuwa na "Not Ready For Goodbyes" wa hao hao All 4 One. Mojawapo ya ngoma ambazo niliimba Karaoke Moja nikang'oa na mzigo that night....Hapo ukiweka wimbo was All 4 One "These arms" ulikuwa unasuuzisha sana ubishoo Wang wa miaka hiyo!
Hahahaaaaa! Those days of Music