Watu wangu wa R&B burudikeni kwa hizi track

Changing faces umenikumbusha way back,ila Promise original version ya jagged Edge ilikuwa noma zaaidi
 
Changing faces umenikumbusha way back,ila Promise original version ya jagged Edge ilikuwa noma zaaidi
Naipenda remix sababu ya jd na loon na vile vile beat wamesample kutoka kwa ll cool j, I need love.
 
Pini za enzi zetu
 

Attachments

  • Cypress+Hill+-+Boom+Biddy+Bye+Bye+%28+240+X+320+%29.mp4
    9.1 MB · Views: 24
Dah safi kwa wazee wa rnb, nakumbuka enzi hizi ngoma zenu zinatamba sisi wazee wa mayenu kipindi hicho tulikuwa na akina lucien bokilo, ghatho na jean balon wakitamba.
 
Last time we made love-Tanya Blount


Dru-Stay with me


Get Out-Changing Faces


Promise (Rmx)- Jagged Edge

Dah safi sana mdau pia kuna Pini kama I never find Someone Like You ya Keith Martin, Vijana wa Shai na vitu kama Comforter and come with Me, Jodeci na Forever My Lady, yaani ni muziki mtamu sana what a memories
 
Yaani naona humu zinakuja ngoma zile ambazo ni my taste from those days' classics. Nakumbuka nikiwa Mbalizi High School nishawahi kupata warembo kadha kwa kugonga ngoma kama vile Same O'l G ya Ginuwine kutoka album ya 100% then ngoma kama vile Never let you Go ya Lumidee nikiwa form five... ngoja nitulie nije nipange my all time favourite play list from late 80s to mid 2000s
 
Huo wimbo wa Tanya, nakumbuka miaka ya 2002 na kuendelea ulikua unapigwa radio one usiku, ila mtangazaji alikua hautaji jina lake. Kwa hiyo tangu hiyo 2002 sikuwah kuujua jina lake mpaka 2011 inglish yangu iliponyooka kidogo na kuutafuta kwenye internet
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom