PostGE2025 Watu wamejiandaa kuyaona machozi ya CCM

PostGE2025 Watu wamejiandaa kuyaona machozi ya CCM

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections
ahaaa ahaaa MANGE ANASEMAJE ? jeshi limesharuhusiwa kuwa na risasi sasahivi? mbona kama mnajiamnini sana this time ahaaaa mungu atatuweka hai tu relax
Issue hapo nikuyasoma tu makosa then game over.
CCM wapo wangapi dude?
Relax
 
Unadhani hatujui Wazanzibari mlivyokuja kutuua Watanganyika mkishirikiana na Waganda na Wamsumbiji?

Endeleeni kudhani tunatania ila kitakachowapata mtaona.
Mimi Mbara baba Mnyakyusa mama Mgita wa musoma ila sio muumini kabisa wa ubaguzi kwa sababu kipindi mdogo baba amehamishwa hamishwa kikazi hadi kambi ya pemba tulikaa najua uchungu wa kubaguliwa
 
Mimi Mbara baba Mnyakyusa mama Mgita wa musoma ila sio muumini kabisa wa ubaguzi kwa sababu kipindi mdogo baba amehamishwa hamishwa kikazi hadi kambi ya pemba tulikaa najua uchungu wa kubaguliwa
Hakuna mbara mwenye akili za kishenzi hivyo.
 
Hadi hapa tushachelewa sana , ngoma haifiki February hii , ahsante watanganyika.
 
Tunachoma mal8
yaani Mange anawashauri mkaandamane mkachome mali za watu na nyie mnashabikia kabisa, yeye mwenyewe yupo sehemu salama aliogopa hakwenda ila mangombe sasa yanachochewa yanaingia mkenge bila hata kupima , anasamabaza uongo wa chuki mnaukubali aisee huwa nacheka mpka napaliwa, eti anaongea na wanajeshi endeleeni tu kuandmana mnaichukua ikulu leo leo endeleni tu mnaichukua ikulu mangombe yakaendelea kuuliwa tu mara ohh jeshi wana bunduk tu hawana risasi ahaaaa ahaaaaa MA NGOMBE YETU BANA
Tunachoma mali za wahuni .....bora ya mange kuliko firauni Samia anaye ua watanganyika kwa maslai ya wajomba zake ...huyu wapumbavu wa misikitini mkimshabikia kuwa ni mwenzenu kumbe yeye anakuoneni ni nguruwe tu mlio vaa kanzu na barakashia
 
Tunachoma mal8

Tunachoma mali za wahuni .....bora ya mange kuliko firauni Samia anaye ua watanganyika kwa maslai ya wajomba zake ...huyu wapumbavu wa misikitini mkimshabikia kuwa ni mwenzenu kumbe yeye anakuoneni ni nguruwe tu mlio vaa kanzu na barakashia
mimi mkristo mluteri shida yangu ni kuchoma vitu vya watu ndo imepoteza uhalali wa movement yote
 
Dah! Hadi najihisi moyo wangu kutoboka kwa maumivu .

Aisee lazima kilipwe KISASI KITAKATIFU.
Hili nimejiapiza... Kuua mtoto mbele yangu ilikua ni bonge la mistake 😢😢😢
 
Najaribu kuwaza, wewe hukuandamana lakini siku ya maandamano polisi wakaja ndani kwako wakaua familia nzima yaani mke na watoto ila wewe ukaenda kuponea hospitali....

Najaribu tu kuwaza kama utasema waandamaji ni wahuni na rais wanampinga kwa kuwa ni mzanzibar, ni muislamu na pia ni mwanamke..
 
Back
Top Bottom