Norton82
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,187
- 1,060
Ongea yote umalize hakuna Mzanzibari wakuondoka Tanganyika wala Mtanganyika wa kuondoka Zanzibar, Hao wote ni Watanzania wana haki ya kuishi popote usitake kutengeneza hofu ambazo hazipo. Atakayejaribu kuhatarisha amani ya Mtanzania wowote kwa kichaka cha Maandamano, Vyombo vishughulike nae instantly bila kumuonea huruma. Wakipotea wachache ili wengi wabaki salama siyo kitu cha kustaajabisha.Ww ni mbwa tu unayesubiria kula makombo kutoka kwa Bwana wako unatumia tumbo kufikiria na sio kichwa.
Usinipotezee muda 🚮🚮