Driz memes
Member
- Apr 4, 2022
- 11
- 20
wakuuuu habarini sana....
Lengo la uzi huu ni kuwataja watu waliozidi kwa chai humu. kama tujuavyo mitandaoni ni sehemu ambayo watu mbalimbali hukutana kutoka sehem tofauti tofauti na kati ya watu hao kila mmoja ana hulka yake binafsi kama uongo, ujinga, usiriaz, uchekeshaji n.k...................!!!
Binafsi kwa mimi humu jf nimepitia baadhi ya nyuzi humu za waandishi mbalimbali nikagundua kua watu ni waongo kama mpwayungu village jamaa amezidi uongo, nyuzi zake zote ni uongo mtupu
Pia kuna ule wa kula kimasihara, mule watu ni waongo sana, kama ni kwel wanayoyaandika basi mbinguni hawatoenda,
Kama unamjua yoyote aliezid uongo humu embu mshushe hapo chini tumjue
Wasalaaam wapendwa..................!!!!!!
Lengo la uzi huu ni kuwataja watu waliozidi kwa chai humu. kama tujuavyo mitandaoni ni sehemu ambayo watu mbalimbali hukutana kutoka sehem tofauti tofauti na kati ya watu hao kila mmoja ana hulka yake binafsi kama uongo, ujinga, usiriaz, uchekeshaji n.k...................!!!
Binafsi kwa mimi humu jf nimepitia baadhi ya nyuzi humu za waandishi mbalimbali nikagundua kua watu ni waongo kama mpwayungu village jamaa amezidi uongo, nyuzi zake zote ni uongo mtupu
Pia kuna ule wa kula kimasihara, mule watu ni waongo sana, kama ni kwel wanayoyaandika basi mbinguni hawatoenda,
Kama unamjua yoyote aliezid uongo humu embu mshushe hapo chini tumjue
Wasalaaam wapendwa..................!!!!!!