Vitabu vya dini ni maandiko yanayo fundisha elimu au maarifa ya kiroho, maandiko haya siyo ya kuzuka au kutungwa bali yana chanzo chake.
Zamani za kale watu pamoja na mambo yote walifanikiwa kutunza mafundisho na maadili ya kiroho kwa namna nyingi kama vile simulizi na hata maandiko.
Watu wa zamani walielewa kuwa ulimwengu upo na kanuni na sheria katika mambo mbalimbali. Wakaelewa matatizo yanayo tokana na ukiukwaji wa sheria, wakaelewa ili matatizo hayo waliyokuwa na uhakika kwamba yanatokana na uhalibifu wa maadili na uvunjaji wa sheria, ili yasiwepo ni lazima kufuata maadili na sheria flani.
Jambo hilo likawa sababu kubwa ya kutunza maadili na sheria pamoja na maelekezo ya maadili na sheria hizo.
Zamani za kale watu pamoja na mambo yote walifanikiwa kutunza mafundisho na maadili ya kiroho kwa namna nyingi kama vile simulizi na hata maandiko.
Watu wa zamani walielewa kuwa ulimwengu upo na kanuni na sheria katika mambo mbalimbali. Wakaelewa matatizo yanayo tokana na ukiukwaji wa sheria, wakaelewa ili matatizo hayo waliyokuwa na uhakika kwamba yanatokana na uhalibifu wa maadili na uvunjaji wa sheria, ili yasiwepo ni lazima kufuata maadili na sheria flani.
Jambo hilo likawa sababu kubwa ya kutunza maadili na sheria pamoja na maelekezo ya maadili na sheria hizo.