Watu wa NIDA wana majibu ya hovyo jamani..

Watu wa NIDA wana majibu ya hovyo jamani..

Ofisi nyingi za serikali . Huwa nashangaa tunawalaumu wanasiasa tu.

Hata walimu na manesi wanakauli mbaya saana.

Tembelea shule ya serikali uone watoto wanavyokuwa treated utashangaa. ...au mama wajawazito utashangaa.
 
Unapokelewa jinsi unavyokwenda. Ukienda na tabasamu pekee wanakujibu na kejeli. Ukienda na bakhsishi unaenziwa.

Hakuna sehemu ya ovyo na iliyojaa rushwa kama NIDA.

Nilishuhudia kwa macho yangu mrundi akipitishwa kwenye process zote mpaka kupigwa picha na alama za vidole kwa Tsh 30,000 tu.
 
Unapokelewa jinsi unavyokwenda. Ukienda na tabasamu pekee wanakujibu na kejeli. Ukienda na bakhsishi unaenziwa.

Hakuna sehemu ya ovyo na iliyojaa rushwa kama NIDA.

Nilishuhudia kwa macho yangu mrundi akipitishwa kwenye process zote mpaka kupigwa picha na alama za vidole kwa Tsh 30,000 tu.
Hizo hongohongo ndo zinafanya baadhi ya wafanyakazi wapenda hela ndogondogo kuwa na majibu ya hovyo ili wewe ambaye haujatoa hizo hela,ukate tamaa na ikiwezekana uwalainishe kwa vihelahela hivyo.Wajinga sana baadhi ya wafanyakazi wa serikali.
 
Hawa watu sijui wanajikutaga kina nani,. Wana majibu ya dharau mnooo

Sikuwahi kuwaza kama nitakuja siku nilie kwasababu ya stranger kuniambia maneno ya hovyo😭😭😭😭😭😭😭😭

Wafanyakazi wa Nida mlaaniwe
Mboso aliimba " na kwanza ndo tunajidaiiii... Kama afisa wa nida .....Sijui Nini na Nini tambaaa"


Anajua Majamaa walivyo watu wa hovyo

Nikanakwamba wao ndo wanatupa uraia wa kuwa watanzania 😂😂😂😂aisee
 
Back
Top Bottom