Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,076
- 144,511
Hawa watu kisaikolojia nina uhakika wako katika hali ngumu sana japo wanaweza kujikaza kuonyesha wana furaha (wako normal) ila wanaishi huku nafsi zao zinawaima na kuwasuta na hata raha ya hizo nafasi hawana kwani raha ya nafasi hizo ni pale unapomshinda mpinzani wako kwa kupambana na si kwa kubebwa na system.
Ukweli ni kwamba, kiwango cha dhuluma na uharamia uliofanyika ni mkubwa mno probably beyond their expectations, na kwakuwa wameshaharibu, hawana namna zaidi ya kuishi huku nafsi zao zinawalilia.
Ukweli mwingine ni kuwa,hata kama rafu zitafanyika, basi walau iwe kwa kila mtu kucheza rafu kivyake katika eneo lake kuliko hii inaonekana hata mbele ya kipofu kuwa ni organised crime iliyofanywa na system tena kwa nchi nzima.
Ninahakika kuna wakati hata wao wenyewe watakuwa wanaona aibu kuangaliana usoni pale macho yao yanapogongana wakiamini hawakustahili kuwa hapo walipo bali wako kwasababu haki za wengine zimeminywa na itawachukua muda kuzoe hali hii na pengine wasiizoee kabisa.
Wanaoteseka na kuumia sio hawa wa Mjengoni tu, bali bila shaka ni pamoja na wapenzi, wanachama na mashabiki wa chama hiki nchi nzima. Ni wazi wako wanaomlaumu mwenyekiti wao kwa kusimamia hujuma hii inayofanya chama chao kidharaulike na kukiondolea kabisa credibility mbele ya umma na hata kimataifa.
Ukweli ni kwamba, kiwango cha dhuluma na uharamia uliofanyika ni mkubwa mno probably beyond their expectations, na kwakuwa wameshaharibu, hawana namna zaidi ya kuishi huku nafsi zao zinawalilia.
Ukweli mwingine ni kuwa,hata kama rafu zitafanyika, basi walau iwe kwa kila mtu kucheza rafu kivyake katika eneo lake kuliko hii inaonekana hata mbele ya kipofu kuwa ni organised crime iliyofanywa na system tena kwa nchi nzima.
Ninahakika kuna wakati hata wao wenyewe watakuwa wanaona aibu kuangaliana usoni pale macho yao yanapogongana wakiamini hawakustahili kuwa hapo walipo bali wako kwasababu haki za wengine zimeminywa na itawachukua muda kuzoe hali hii na pengine wasiizoee kabisa.
Wanaoteseka na kuumia sio hawa wa Mjengoni tu, bali bila shaka ni pamoja na wapenzi, wanachama na mashabiki wa chama hiki nchi nzima. Ni wazi wako wanaomlaumu mwenyekiti wao kwa kusimamia hujuma hii inayofanya chama chao kidharaulike na kukiondolea kabisa credibility mbele ya umma na hata kimataifa.