Songambele
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 4,695
- 2,553
Nakumbuka Mkapa alishikishwa adabu hana hamu!!
2010 walimwambia JK bila aibu "hatukupi kura!!"
Halafu! alipata hakupata?
Nakumbuka Mkapa alishikishwa adabu hana hamu!!
2010 walimwambia JK bila aibu "hatukupi kura!!"
Watu wa mji wa Mbeya wamekuwa ni watu wa ajabu sana. Wanafanya siasa za kitoto sana zisizo za kistaarabu.
Kwa sasa ukizungumzia Mbeya ni kama unazungumzia mji wa 'masela ma..' awa watu walimzomea mpaka rais wa nchi na sababu hawana.
Mji sasa unaongozwa na mawazo ya Sugu na mnamuita rais wenu.. Just imagine?
Nyie siasa za vyama vingi mnachukulia ni ugomvi na fujo kwenu huko sasa kila kitu mmechukulia siasa ata timu yenu inakufa sababu ya siasa za kipuuzi.
Sasa nimeshanga mpaka hizi kampeni kazi yenu ni kuzomea zomea wagombea msiowaunga mkono. Sasa sielewi ukishazomea ndio utapata nini na fujo tangu mzianze mmepata nini.
Mbeya inasikitisha imekuwa inawaiga watu wa Arusha. Watu wa Arusha wanajulikana hao, hatuna tatizo nao cha Arusha ndio tatizo. Sasa nyie mtaishi hivyo mpaka lini.
Sasa naomba mchukue ushauri wangu mbadilike, msijifanye nyie mnauchungu na chama kuliko watu wa Kilimanjaro.
Msipobadilika mwaka huu mtailaumu serikali maana Mzee Jakaya kawalea sana. Badilisheni siasa zenu ziwe za kijanja or else.
babu kizee upo,turudi shule wote maana stress zako magufuli hawezi ziondoa,kapige shule upate akili,penikeee vepeeeeeeeee
Pambaff. unafikiri siye ni M.A.T.A.K.O. kama nyie? sie haturembi. wala hatupelekeshwi na akili ndogo. Mbeya ni nchi huru kama hujui.mambo ya mbeya tuachie wana Mbeya
I wonder the level of education and literacy at your possession and reach, stop portraying and parading your idiocy,gullibility and stupidity on a public forum over a cause not yours!!!
Can you please leave this thread now?
Please be fast with it.
I don want to see your poo.
Hawajaichoka ccm ila ni watu wanaopenda sana ushabiki wa kishamba. Yani wana akili za kushikiwa.
Hahaaaa naona msumari umekuingia!!! naona povu linakutoka uliza level ya usomi Mbeya ikoje!!
Hata tukishindia parachichi tumeshasema CCM No!!!
Rais wamwisho kuheshimika Mbeya alikuwa Mwinyi tu wengine wote full kuzomewa!!
2010 JK aliachwa uwanjani na ze comedy wake!!!
na safari hii hata wala miguu ya kuku wa DSM nao wameamka!!!
Sio Mbeya tu ni kote kwa waliosoma na wenye afya ya akili hawaipendi CCM!!
Rejea ripoti ya TWAWEZA!!!
wabunge wa ccm wanaongoza kuzomea bungeni nao ni ukawa wanatoka mbeya?au nao ni masela?