Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

Source:Mwananchi
 
mseng ww
 
yanayofanyika Mbeya yalitakiwa yafanyika Mtwara na Kigoma maana wameachwa nyuma sana na serikali ya ccm

Umesahau mtiti wa gesi Mtwara? Ndo kumeanza hivyo Mtwara. Kigoma walishawahi kulmaki JK na madumu matupu ya maji na vibatari, wakimdai umeme na maji aliyoahidi kule 'DUBAI' ya Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…