Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,221
- 28,666
Hotel Ipo mama JohnMdope ndio maeneo gani?
Hotel Ipo mama JohnMdope ndio maeneo gani?
Baada ya Hood kupotea Abood ndio anasumbua hapo Msamvu kwa Dar..Linajaa haraka sababu ndio option pekee ya Kila abiria
Ipo maeneo gani? Hili litakuwa chimbo jipya.
Kawaida ya washamba. Sauli ni kampuni ya mkoa au kampuni binafsi? Kabla ya Sauli walikuwa wanapanda basi la kampuni gani? Eti Sauli yao! Hamnaga aibu nyie?Wakazi wa Mbeya wana Imani kubwa na Sauli yao wanaamini Sauli ndio Bus pekee Afrika mashariki na kati. You can't tell them anything about Sauli.
Hongereni Wana Mbeya hii spirit ya kukubali vitu vyenu ni Moja kati ya sifa zenu ila kukubali vitu vyenu kusiwape upofu wa kujua vitu vingine vizuri vilivyopo ulimwenguni.
Mama john napajua sana maana nilikuwa nakaa block q.Kituo kinaitwa Mama john kama unatokea uyole ipo mkono wa kulia na kama unatokea kabwe iko mkono wa kushoto, pametulia na ni pakisasa sio mbaya utaona maandishi yamenakshiwa kwa rangi ya njano kwa mbele getini
Okay, one of these days nikija mbeya nitatembelea hapo.Hotel Ipo mama John
Wao huwa wanaliita Li Mwafrika 😂😂Wakinga= Mwafrika
Mama john napajua sana maana nilikuwa nakaa block q.
Nitapita hapo siku nilione hilo chimbo maana mbeya mjini huwa hakuna sehemu nzuri za kwenda.
Tughimbe? Zile hotel za yule mkinga pale soweto na kule uzunguni? Rift valley?? Zote hizo ni sawa na lodge za kawaida mitaani pale dar.Machimbo yapo siku hizi utake nini mbeya ukose?
Utakua ulisoma TEKuMama john napajua sana maana nilikuwa nakaa block q.
Nitapita hapo siku nilione hilo chimbo maana mbeya mjini huwa hakuna sehemu nzuri za kwenda.
Kumbe mbasi ya Sauli yanaundwa Mbeya! Nawapa hongera nyingi, nyingi sana.Wakazi wa Mbeya wana Imani kubwa na Sauli yao wanaamini Sauli ndio Bus pekee Afrika Mashariki na Kati. You can't tell them anything about Sauli.
Hongereni Wana Mbeya hii spirit ya kukubali vitu vyenu ni moja kati ya sifa zenu ila kukubali vitu vyenu kusiwape upofu wa kujua vitu vingine vizuri vilivyopo ulimwenguni.
Wapo hivyo hata kwenye daladala bajaj na bodabodaKama vile waluguru na Abood zao
Magari yapo mengi ya kwenda dar Ila atataka apande Abood
Watu wa ajabu sanaWapo hivyo hata kwenye daladala bajaj na bodaboda
Nilisoma udsm enzi hizo teku hata haijazaliwa.Utakua ulisoma TEKu
Kwa mzee wa jalala KabuduNilisoma udsm enzi hizo teku hata haijazaliwa.
Relax mkuu sometimes jitahidi ku enjoy mada, nothing serious here otherwise utakufa kwa depression, route ya Dar to Mbeya ni njia mama, akina Nganga, Scandinavian express wamehudumu sana hii route,na sauli pia Era yao itaisha na mwingine will take over, mkuu Pata Heineken pale Kibo bar bill wire kwanguKawaida ya washamba. Sauli ni kampuni ya mkoa au kampuni binafsi? Kabla ya Sauli walikuwa wanapanda basi la kampuni gani? Eti Sauli yao! Hamnaga aibu nyie?
Kama vile waluguru na Abood zao
Magari yapo mengi ya kwenda dar Ila atataka apande Abood
Sauli ni kampuni binafsi inayofanya route kutoka mkoa wa Dar to Mbeya/Mbeya to Dar lengo la hii thread nikuonyesha jinsi Gani wakazi wa Mbeya wako loyal Kwa kampuni inayoitwa Sauli so kauli ya Sauli Yao simply means kampuni wanayopendeleaKawaida ya washamba. Sauli ni kampuni ya mkoa au kampuni binafsi? Kabla ya Sauli walikuwa wanapanda basi la kampuni gani? Eti Sauli yao! Hamnaga aibu nyie?
karibu UyoleKuna jamaa aliniaminisha Uyole ni zaidi ya Posta.. Somo kubwa walionifundisha ni kukubali Cha kwako no matter what.