Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Cheki alivyo kataliwa hadharanihttps://twitter.com/ngurumo/status/1302233135799771136?s=09Mshipa wa aibu haupo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cheki alivyo kataliwa hadharanihttps://twitter.com/ngurumo/status/1302233135799771136?s=09Mshipa wa aibu haupo.
Na sauti yake ndiyo hii hapo mkuuHili ndio alilosema Mama Maria mwenye audio atuwekw.
“Unasema unawapenda Wafanyakazi eti utawaongeza mishahara halafu haohao unawaita Majalala, kwahiyo Wakuu wa Wilaya Majalala, Polisi, Walimu na Wanajeshi wote Majalala? Kwamba nimewaokota?, Ndugu zangu Wafanyakazi nadhani mmeanza kuona mapema” -JPM akiwa Mara
Hii statement ilieleweka sana kwa watumishi hivyo haitawasaidia sana kwenye kumkomoa Lissu.“Unasema unawapenda Wafanyakazi eti utawaongeza mishahara halafu haohao unawaita Majalala, kwahiyo Wakuu wa Wilaya Majalala, Polisi, Walimu na Wanajeshi wote Majalala? Kwamba nimewaokota?, Ndugu zangu Wafanyakazi nadhani mmeanza kuona mapema” -JPM akiwa Mara
Jamaa yupo very poor kujibu hoja....mpaka Kampeni ziishe ataumia Sana...Ni heri mmshauri aache kumjibu TL ...Ile Ni level Kubwa Sana!“Unasema unawapenda Wafanyakazi eti utawaongeza mishahara halafu haohao unawaita Majalala, kwahiyo Wakuu wa Wilaya Majalala, Polisi, Walimu na Wanajeshi wote Majalala? Kwamba nimewaokota?, Ndugu zangu Wafanyakazi nadhani mmeanza kuona mapema” -JPM akiwa Mara
Wilaya ilikataa kumlipa mkandarasi M600 kwa kazi mbovu ya stendi Bweri. Yeye amesema M600 zilipwe ndipo Wilaya ifuatilie marekebisho ya kazi mbovuWatu wa Mara kama mpo hapa tusaidiane ufafanuzi kidogo wa hotuba ya Magufuli Leo.
Mi ninachokumbuka ni Million 600 mara zililetwa zikarudishwa
Sijaelewa vizuri.
Mama Maria ni shujaa wa siku.Mama maria Nyerere kapasua jipu
Swissme
Bibi ni mama wa Taifa habagui watoto wake.Bibi bado anaweza kupiga ngumi za uso, kweli jasiri haachi asili..
Msema kweli mpenzi wa Mungu
Hii ni dalili ya panic attack.Kweli jiwe hawezi siasa, kwani polisi, walimu, wanajeshi ni wateule wake? Hao ni watumishi wa umma walikuwepo kabla yake, na wataendelea kuwepo bila yeye. Kwa sentensi hizo watu wanamchora tu.
Nilicheki kwenye taarifa, mbona huyo bibi hajaongea hivooo au ndo hizi zinaitwa propaganda..Bibi ni mama wa Taifa habagui watoto wake.
Na sauti yake ndiyo hii hapo mkuu
Aaaaah, aibu! Jiwe unakosea wapi?!?
Hayo tuyaache, tusikilize kwanza sauti ya mama wa taifa.Mbona umepata mkuu. Unajua uongo huwa hauna mwendelezo
Mwambie. Hajielewi huyo. Kichwa kwake ni mzigo.Wafanyakazi wa majalalani ni kama wewe hapo Lumumba Buku 7, Wakuu wako wa Wilaya, Wakuu wako wa Mikoa, Wabunge wako wa kuteuliwa kama yule Kabudi, Bulembo, nk. Na wala siyo hao uliowataja.
Au unataka utuambie na sisi tumeteuliwa na huyu Mwenyekiti wako aliyeingia madarakani mwaka 2015? Au unategemea mtu kama Tundu Lissu na akili yake yote ile anaweza kumtumika na kumlamba miguu Magufuli kama unavyofanya wewe!!!
Watumishi wa umma hatudanganyiki na hizi siasa zenu nyepesi. Mwaka huu tutawaharibia kweli kweli. Na uzuri hatuna shida na hivyo vinyongeza vyenu vya mshahara. Tumeshaanza kujiongeza kitambo.
Ondoeni haraka bango hili msije pata laana. Mama Nyerere hakuzungumza maneno haya. Kinyume chake amesema amelazimishwa kuja ili vichwa viongezeke. Hana cha kuongea. Ninyi ccm muogopeni Mungu. Laana nyingine mnajitafutia.Hili ndio alilosema Mama Maria mwenye audio atuwekw.