share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,062
- 10,461
Debe tupu haliachi kutika.Hivi Dc kuwa mjaluo ndio ukabila umeisha Rorya, simply niseme sijafurahia hotuba yake kusema amebalance atupe Dc mjaluo halafu na sisi tuchague mbunge Msuba!! Mawazo ya kubaguana, huyu mzee amekosa washauri. Si sa zimemshinda naona Lissu amemchanganya sana hadi badala ya kumnadi mgombea wake anamnadi Wenje