mayraclara
Member
- Oct 6, 2018
- 20
- 6
Karibu sanaaHabari za usiku wakuu..
Napenda kuwajulisha ndugu zanguni wa mkoa wa Kigoma kwamba nitakua mgeni wenu mda simrefu kwa ajili ya kuja kufata mzigo wangu.
Kikubwa nawaomba muje munipe ushirikiano wenu, safari yangu itaanzia Dar, matembezi yangu nitafikia mpaka vijijini kama:
Kagunga, Mwamgongo na maeneo ya mjini ambapo ndo itakua ndo penye kitovu cha shughuli yangu. Naamini sitakosa kuja kupata mafuta ya mawese ya kumwaga na sabuni kede kede ambazo zitakuja kuwa kama zawadi kwangu.