Updates:
Niwashukuru sana baadhi ya ndugu zangu wa Kigoma kwa kunipa ushirikiano kuanzia mwanzo wiki niliyofika kwenu hadi kumalizika. Pia nimkumbushe Da vinci kwamba....aliniambia nikifika nimwambie lakini cha kushangaza baaada ya kufika hakunijibu chochote hadi leo. Ila sio mbaya tupo pamoja.
Pia niwaambie kwamba nimeshageuza narudi home baada ya kumaliza majukumu yangu.
Nawatakia maisha mema...Safari nyingine najiandaa kwenda Arusha mwakani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.