DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,597
- 99,592
Ha ha ha.....Okoa nauli yako maana uwepo wako hauathiri chochote.
Ha ha ha.....Okoa nauli yako maana uwepo wako hauathiri chochote.
Mabepari gani? Mahando hio mtaa mzima zilikuwa nyumba za serikali wamezikwapua.Wapiga kura wote mtakutana Viwanja vya Karimjee
Masaki ile ya Mzee wa safari ya matumaini ni ile Masaki yenyewe waliyokuwa wanaishi Mabepari hakuna boda boda wala daladala
tulia huwez elewa 😂😂kwamba mnawalegezea wananzengo ama sio!
kazamoyoMtaa gani huo?
Hii imeenda... Ni kweli hata mimi nimenote hili jambo na kujiuliza. Labda tusubiri wajuzi zaidi watuambie kuhusu utaratibuHabari
Nimefatilia naona wanaotia timu msibani nyumba kwa hayati Lowasa ni viongozi na wanasiasa wakubwa
Lowasa ni kati ya wanasiasa niliokubali falsafa zake, aliifanyia makubwa nchi yetu, mitihani alopitia kutenga na marafiki zake katika siasa ila bado aliamini falsafa zake hakurudi nyuma
2015 nikiwa UKAWa nilimpa kura yangu,
Sasa mimi sio maarufu ila natamani kufika japo kutoa rambi rambi zangu
Sijui protokali hapo ikoje?
Me ni mwananchi wa kipato cha kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajielewa? Hujui kuwa huo ugumu wa maisha unasababishwa na hawa wanasiasaTafuta maisha, hawa wanasiasa waache
Umkope?Me ni mwananchi wa kipato cha kati
Kama sh.ngapi?
Kipato cha kumudu maisha yangu na familia yangu tuMe ni mwananchi wa kipato cha kati
Kama sh.ngapi?
JF haiboi walah🤣🤣ukipata nafas ya kwenda apo msibani beba cv za kutosha pia unaweza kubeba na business cards kadha wa kadha kama uchumi unaruhusu beba na roll-up banner hapo msibani kuna connections za kutosha unaweza kupata ajira deals za biashara pia unaweza kuchange career ukawa contractor assassin
Kula bure siku kadhaaaTuko hapa msibani
Sina nauli...tuwakilishe mkuuKipato cha kumudu maisha yangu na familia yangu tu
Vip twende Masaki kufariji familia ya Lowasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ikiwezekana 👍
Unakaribishwa bila shaka.. Karibu sana msibaniHabari
Nimefatilia naona wanaotia timu msibani nyumba kwa hayati Lowasa ni viongozi na wanasiasa wakubwa
Lowasa ni kati ya wanasiasa niliokubali falsafa zake, aliifanyia makubwa nchi yetu, mitihani alopitia kutenga na marafiki zake katika siasa ila bado aliamini falsafa zake hakurudi nyuma
2015 nikiwa UKAWa nilimpa kura yangu,
Sasa mimi sio maarufu ila natamani kufika japo kutoa rambi rambi zangu
Sijui protokali hapo ikoje?
Me ni mwananchi wa kipato cha kati
Sent using Jamii Forums mobile app