MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 6,656
- 22,443
Tembelea tovauti hii >>>>> ChenjiFasta: Home kwa walimu wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi.
Ni kitu gani nimekopy mkuu ??? au kuona tab ya hamafasta ndo nimekopy.View attachment 375429View attachment 375430
Mkuu usi kopi kiasi hicho, yani una post tangazo linaonesha kabisa ulikua una grab contents, sawa idea imepatikana free kutoka kwa mkuu balimar sasa hata kuongeza nyama na kuja na something new hamna!!!,
screenshot ya pili ni kutoka katika tangazo la mr divisiblebyzero .
IT wa tanzania hatuwezi kuendelea kwa namna hii, nilitegemea kuona kitu tofauti chenye azma moja, au hata uangalie nini tumeshindwa ku implement. Lakini mpaka interface!!!
duuh good luck.
cc: @zech
Ni pm kwa uwekezaji zaidi.Hamafasta.com , tayari ipo online ina karibia kufikisha mwezi mmoja tangu iende hewani, tupo katika mchakato wa kufanya maboresho zaidi na kuongeza idara.
Idea tulichukua hii hii ya ndugu balimar ,
Kwa muda mfupi tangu iende hewani tumeona imeleta positive feedback kutoka kwa waalimu, now tupo katika mchakato wa kuitangaza zaidi, kufikia sasa wamejisajili zaidi ya waalimu 500 na zaidi ya nusu wamefanikiwa kupata wa kubadilishana nao vituo.
Asante sana ndugu balimar tunapokea ushauri kutoka kwa wadau pia.
Hii ni kazi ya siku moja tu, tena maasa kadhaa, kama wewe uko proficient in programming PHP. Script zipo tayari kwa idea hii. Huna haja ya ku-reivent The wheel.If you think nawavunja moyo then maybe you're in the wrong forum or you just don't understand how things work. I have worked on so many projects where some kid would just say 'yeah, hii sio shida, just one day thing' then you come next week he's still struggling, its called reality.
You don't just make a production ready system in a week, so many things keep changing, logic may escape you for the whole day and you spend the whole day staring at the window or cursing. only to find that you just made a small error in judgement, those who have developed real stuff understand this, those who have never will always come up with those crazy claims like "i can do this in one week".
NB: I never said anything along the complex solution/simple solutions lines, i don't know where you got that from.