wazo ni zuri mi ninalo but la kwangu ni kuwauganisha job seekers na recruites...........but kwa uzoefu wangu watanzania ni wagumu kulipia hela so ntafanya free .then i will generate income only on advertising and bulk sms shotsSalam.
Mimi sijui mambo ya IT ila mimi ni mwalimu ila natoa wazo bure!!
Nyie watu walimu na wafanyakazi wa serikali wa idara nyingine wamekuwa wanahangaika humu kubadilishana vituo vya kazi mimi naiona kama fursa kwenu.
Kwanini msiandae program ambapo mfanyakazi yoyote wa serikali anaweza kuingia kwenye hiyo database halafu akajaza details zake humo na baadae ikampa options za wafanyakazi wenye uhitaji wake.
Mfanyakazi husika labda anaingiza taarifa kwenye data base hiyo hata kwa elfu ishirini halafu itangazeni mtapata raia mpaka mkimbie.
Mimi naomba fanyeni na liundeni au liwekeni kwenye speciality yenu mimi mniaknowledge tu inatosha.
wATU KAMA WEWE WACHACHE SANA dunia HII UMETUPA ALMASI NA KUOKOTA JIWE....HUO NDIO UZALENDO.Salam.
Mimi sijui mambo ya IT ila mimi ni mwalimu ila natoa wazo bure!!
Nyie watu walimu na wafanyakazi wa serikali wa idara nyingine wamekuwa wanahangaika humu kubadilishana vituo vya kazi mimi naiona kama fursa kwenu.
Kwanini msiandae program ambapo mfanyakazi yoyote wa serikali anaweza kuingia kwenye hiyo database halafu akajaza details zake humo na baadae ikampa options za wafanyakazi wenye uhitaji wake.
Mfanyakazi husika labda anaingiza taarifa kwenye data base hiyo hata kwa elfu ishirini halafu itangazeni mtapata raia mpaka mkimbie.
Mimi naomba fanyeni na liundeni au liwekeni kwenye speciality yenu mimi mniaknowledge tu inatosha.
sh..rout...configAsante sana mkuu mimi ni IT nimebase sana kwenye networking lakini nitaongea na jamaa yangu yeye ni mtaalamu wa programing tuone tunafanyaje......
asante sana kwa wazo lako nimelipenda.
Glad to hear that mkitengeneza weken details zenu hapa hapa jamii forum halafu wekezen kidogo kwenye matangazo watu wanasuffer na hii makitu aibu as if tupo ujima.Asante sana mkuu mimi ni IT nimebase sana kwenye networking lakini nitaongea na jamaa yangu yeye ni mtaalamu wa programing tuone tunafanyaje......
asante sana kwa wazo lako nimelipenda.
NIMEONGEA NAYE KAKUBALI BAADAYE TUTAKAA TUTENGENEZEGlad to hear that mkitengeneza weken details zenu hapa hapa jamii forum halafu wekezen kidogo kwenye matangazo watu wanasuffer na hii makitu aibu as if tupo ujima.
KANIPA UHAKIKA KAMA INAWEZEKANA ILA NAONA ITAKUJA TATIZO LA FINANCIALHeko heko inawezekena guys
Salam.
Mimi sijui mambo ya IT ila mimi ni mwalimu ila natoa wazo bure!!
Nyie watu walimu na wafanyakazi wa serikali wa idara nyingine wamekuwa wanahangaika humu kubadilishana vituo vya kazi mimi naiona kama fursa kwenu.
Kwanini msiandae program ambapo mfanyakazi yoyote wa serikali anaweza kuingia kwenye hiyo database halafu akajaza details zake humo na baadae ikampa options za wafanyakazi wenye uhitaji wake.
Mfanyakazi husika labda anaingiza taarifa kwenye data base hiyo hata kwa elfu ishirini halafu itangazeni mtapata raia mpaka mkimbie.
Mimi naomba fanyeni na liundeni au liwekeni kwenye speciality yenu mimi mniaknowledge tu inatosha.
Nilivyo mwelewa watu wanapotaka kuhama lazima upate mtu wa kubadilishana nae kituo cha kazi mfano nikitaka kutoka mwanza niende dar es salaam nitajaza na mwenzangu ambaye yuko dar anataka kwenda mwanza , hiyo ndio itakuwa kama matching detail anayoizungumzia .Mkuu sijakuelewa vizuri em jaribu ku~elaborate zaidi, kama unaweza toa mfano maana mfano wako hapo juu nimeshindwa kuuelewa kabisa.
Unamaanisha nini unaposema mtu anajaza data alafu database inampa list ya watu wenye uhitaji kama wake? Uhitaji wa kitu gani? Na kwa nini?