Watu wa bibilia, tuumize kichwa kidogo

Watu wa bibilia, tuumize kichwa kidogo

God is Dead

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2019
Posts
1,312
Reaction score
1,533
Jacob said,
Simeone and Levi are brothers
Their knives are vicious weapons
May I never enter their council
May I never join their assembly,

Simeone- Sheria,
Levi- Dini

Sheria na Dini, ni ndugu,
Visu vyao ni silaha Kali,

Mbona huku kwetu, Jacob anawaingilia Sheria na Dini, Kuna haja ya kuheshimu kitabu ambacho hakuna anayejua wala kuelewa maana ya kilichoandikwa

Jacob- Nation

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom