Nesi mkunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2022
- 696
- 1,874
Happy ban day!
Watu wa bara mnapaswa kubadilika na kuwa na ustaarabu! Nyie watu mmekosa ustaarabu na chuki zimewajaa acheni hizo gubu zenu na nyinyi huku pwani tuwatimue?
Nimechokwa na chuki zenu za udini kila mara mnazowafanyia ndugu zetu wa pwani hamuwaruhusu kusoma shuleni zenu na nasikia mnawafelisha wanafunzi wa bara.
Bwana .siwezi kumtaja mtoto wake amefelishwa kwenye shule moja huko bara eti kisa ni muislamu na anatokea pwani tafadhalini sana watu wa bara tunajenga nyumba moja kwanini mnaubaguzi hivyo?
Watu wa bara tafadhalini acheni hizo chuki zenu na ubaguzi wenu wa ajabu ajabu na sisi tutawabagua huku kwetu pwani.
"Jamiiforum acheni double standard na ubaguzi wa dini hili ni jukwaa huru"
Cde. Mwanamzizima
Mkristo Safi.
Watu wa bara mnapaswa kubadilika na kuwa na ustaarabu! Nyie watu mmekosa ustaarabu na chuki zimewajaa acheni hizo gubu zenu na nyinyi huku pwani tuwatimue?
Nimechokwa na chuki zenu za udini kila mara mnazowafanyia ndugu zetu wa pwani hamuwaruhusu kusoma shuleni zenu na nasikia mnawafelisha wanafunzi wa bara.
Bwana .siwezi kumtaja mtoto wake amefelishwa kwenye shule moja huko bara eti kisa ni muislamu na anatokea pwani tafadhalini sana watu wa bara tunajenga nyumba moja kwanini mnaubaguzi hivyo?
Watu wa bara tafadhalini acheni hizo chuki zenu na ubaguzi wenu wa ajabu ajabu na sisi tutawabagua huku kwetu pwani.
"Jamiiforum acheni double standard na ubaguzi wa dini hili ni jukwaa huru"
Cde. Mwanamzizima
Mkristo Safi.