Watu, Taasisi, na Mifumo...

Kabisa. We should not tolerate any belittling of our elected leadership, particularly the President.
 
Popote ulipo agiza kreti zima la Heineken!

Umenielewa vizuri sana.

Sina cha kuongeza.
 
Mwendazake aendelee kwenda asigeuke nyuma
Michango kama hii kwenye mada muhimu na nzito kama hii inaonesha umuhimu wa kuanza kubadili mindset za watanzania kabla ya mambo mengine.

Nyani Ngabu yupo sahihi.

Unakomaa na habari za kumshambulia mtu aliyekufa na kuzikwa!!!
 
 
Huyu mpuuzi alitoa kauli hii kwa sababu alijua fika katiba ya chama kimoja wanaweza kuidharau bila wao kuathirika kwa vyovyoye vile. Watatumia polisiccm kupiga, kutia vilema, kubambikia kesi ná hata kuua bila wao kuathirika kwa namna yoyote ile na pia kutumia Tume FEKI ya uchaguzi kuiba uchaguzi nchi nzima bila wao kuathirika vyovyoye vile, lakini tukiwa na Katiba mpya ambayo itakuwa na vipengele vyenye kutoa adhabu kubwa kwa wote wataokiuka Katiba mpya na pia Tume huru ya uchaguzi ambayo haitakubali kuchezewa hata na Rais ili kuchagua uchaguzi basi maneno haya ya KIPUMBAVU asingethubutu kuyatoa. Mahali pa kuanzia ni Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…