EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,083
Watu pekee ambao huwa nasikiliza hotuba zao kwaajili ya kujifunza maneno ya hekima yenye kuleta furaha na amani.
Siku zote watu wanasema ukitaka kuwa na hekima jifunze kutoka kwa wenye hekima.
Wasikilize watu wenye hekima.
Hata ukipata nafasi basi ongea na kuzungumza na watu wenye hekima.
Hii ndio orodha ya watu wangu pekee ambao huwa najifunza kutoka kwao, ili nipate maneno yenye hekima.
1.Obama
2. Steve Jobs
3. Bill Gates
4. Dkt. Magufuli
5. Watu waliosomea Havard University.
Ukifuatilia hotuba za Obama, alikua anazungumzia maneno yenye hekima sana na ya kujenga na sio kubomoa. Si hivyo tu alikuwa kila akihutubia pia lazima aingizie maneno machache ya kuchekesha. Lazima ujue kuchekesha unapo hutubia hiyo ni mbinu ya uhutubiaji kama unaongea ongea tu bila kuchekesha wewe sio mhutubiaji bali nimwongeaji.
Ukimusikiliza Dkt Magufuli hotuba zake zinafanana sana na hotuba za Obama. Hakika ukimsikiliza lazima upate maneno ya hekima na ya kuchekesha yenye kuleta amani na furaha moyoni.
Ukifuatilia hotuba za Steve Jobs naye hivyo hivyo. Lazima achekeshe kidogo.
Natamani sana na mimi niwe kama Dkt Magufuli, kama Obama wa Tanzania, kama Steve Job kama wale vijana wa Harvad. Nihutubie watanzania maneno yenye hekima yenye kuleta amani na furaha na kabla sijamaliza hotuba yangu niingizie kidogo na maneno ya kuchekesha.
Siasa sio vita bali ni mchezo tu kama basket ball.
Siku zote watu wanasema ukitaka kuwa na hekima jifunze kutoka kwa wenye hekima.
Wasikilize watu wenye hekima.
Hata ukipata nafasi basi ongea na kuzungumza na watu wenye hekima.
Hii ndio orodha ya watu wangu pekee ambao huwa najifunza kutoka kwao, ili nipate maneno yenye hekima.
1.Obama
2. Steve Jobs
3. Bill Gates
4. Dkt. Magufuli
5. Watu waliosomea Havard University.
Ukifuatilia hotuba za Obama, alikua anazungumzia maneno yenye hekima sana na ya kujenga na sio kubomoa. Si hivyo tu alikuwa kila akihutubia pia lazima aingizie maneno machache ya kuchekesha. Lazima ujue kuchekesha unapo hutubia hiyo ni mbinu ya uhutubiaji kama unaongea ongea tu bila kuchekesha wewe sio mhutubiaji bali nimwongeaji.
Ukimusikiliza Dkt Magufuli hotuba zake zinafanana sana na hotuba za Obama. Hakika ukimsikiliza lazima upate maneno ya hekima na ya kuchekesha yenye kuleta amani na furaha moyoni.
Ukifuatilia hotuba za Steve Jobs naye hivyo hivyo. Lazima achekeshe kidogo.
Natamani sana na mimi niwe kama Dkt Magufuli, kama Obama wa Tanzania, kama Steve Job kama wale vijana wa Harvad. Nihutubie watanzania maneno yenye hekima yenye kuleta amani na furaha na kabla sijamaliza hotuba yangu niingizie kidogo na maneno ya kuchekesha.
Siasa sio vita bali ni mchezo tu kama basket ball.