Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,511
- 10,417
Lengo lilikuwa kwa mgombea. Picha zinasadifu yaliyomo
ndiyoohaaa haa eti Magufuli
sio kusuguliwa na sugu?Rais Magufuli ni kama ameshushwa na Mungu kuja kukomboa Watanzania
hushangai kwa nini watu wanakushangaa?ndiyoo
hushangai kwa nini watu wanakushangaa?ndiyoo
hushangai kwa nini watu wanakushangaa?ndiyoo
Ndio hivyoo, acha wanishangae kwasababu wamezoea kushangaahushangai kwa nini watu wanakushangaa?
Magufuli mitano tenaNinaheshimu mawazo yako lakini kuna mtu kwenye hiyo list yako,nakushauri bora umsikilize sana mumeo/mkeo kuliko huyo!
Wewe hauko sawa kichwa. Huyu magufuli aliyejaa roho mbaya, mshenzi na hasiyekuwa na hekima hata moja unamfananisha na Obama kweli???Watu pekee ambao huwa nasikiliza hotuba zao kwaajili ya kujifunza maneno ya hekima yenye kuleta furaha na amani.
Siku zote watu wanasema ukitaka kuwa na hekima jifunze kutoka kwa wenye hekima.
Wasikilize watu wenye hekima.
Hata ukipata nafasi basi ongea na kuzungumza na watu wenye hekima.
Hii ndio orodha ya watu wangu pekee ambao huwa najifunza kutoka kwao, ili nipate maneno yenye hekima.
1.Obama
2. Steve Jobs
3. Bill Gates
4. Dkt. Magufuli
5. Watu waliosomea Havard University.
Ukifuatilia hotuba za Obama, alikua anazungumzia maneno yenye hekima sana na ya kujenga na sio kubomoa. Si hivyo tu alikuwa kila akihutubia pia lazima aingizie maneno machache ya kuchekesha. Lazima ujue kuchekesha unapo hutubia hiyo ni mbinu ya uhutubiaji kama unaongea ongea tu bila kuchekesha wewe sio mhutubiaji bali nimwongeaji.
Ukimusikiliza Dkt Magufuli hotuba zake zinafanana sana na hotuba za Obama. Hakika ukimsikiliza lazima upate maneno ya hekima na ya kuchekesha yenye kuleta amani na furaha moyoni.
Ukifuatilia hotuba za Steve Jobs naye hivyo hivyo. Lazima achekeshe kidogo.
Natamani sana na mimi niwe kama Dkt Magufuli, kama Obama wa Tanzania, kama Steve Job kama wale vijana wa Harvad. Nihutubie watanzania maneno yenye hekima yenye kuleta amani na furaha na kabla sijamaliza hotuba yangu niingizie kidogo na maneno ya kuchekesha.
Siasa sio vita bali ni mchezo tu kama basket ball.
View attachment 1588928
View attachment 1588930
View attachment 1588931
ndiyooWewe hauko sawa kichwa. Huyu magufuli aliyejaa roho mbaya, mshenzi na hasiyekuwa na hekima hata moja unamfananisha na Obama kweli???
Huyu huyu ambaye anasema " Sileti maendeleo kwasababu munachagua chama tofaiti na ccm"
Hata unitukane Magufuli for life, ww utakua uliwahi kuwa fisadiWewe hauko sawa kichwa. Huyu magufuli aliyejaa roho mbaya, mshenzi na hasiyekuwa na hekima hata moja unamfananisha na Obama kweli???
Huyu huyu ambaye anasema " Sileti maendeleo kwasababu munachagua chama tofaiti na ccm"
Itakua umezoea kuhutubia kwa watoto wenzako wa Sunday School.Umewahi kuhutubia lakini chief. Maana unaongea bila kuwa na uzoefu. Mwenzio nina uzoefu na hayo mambo
MhhhhRais Magufuli ni kama ameshushwa na Mungu kuja kukomboa Watanzania
Mbowe kwako ndio mwenye hekima?. Utakuwa utopolo wa kutupa. Kuna viongozi wa Chadema, hata inzi hawawezi kuwafuata sembuse watu. ThubutuKama huyo Mgombea ndio kwako ana hekima, basi umekwisha up stairs