Watu ndani ya Mlimani city Mall

Watu ndani ya Mlimani city Mall

Darmian

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2017
Posts
17,297
Reaction score
46,755
Kuna jambo nimekuwa nikiliobserve kila nikiwa nafanya manunuzi yangu pale Mlimani City. Idadi kubwa ya watu ninaopishana nao wengi utawasikia wakiongea kuhusu kuishi nje ya nchi, kuhusu kuondoka nchini siku sio nyingi, kuhusu kwenda China, India kufunga mzigo wa biashara na mengine mengi

Najua inaweza kuwa kitu cha kawaida na always tunashauriwa kumind our own bussiness lakini kwa hili limenifikirisha kidogo

Hivi wakuu watu wengi wanaokuwa Mlimani City ni kwamba wana class au aina hiyo ya maisha au inakuwaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani kuishi nje ya nchi, kwenda nje ya nchi, na kwenda China na India kufunga mzigo ndo kuwa na ‘class’?
Class nimeitumia kama aina ya watu wanaofanana au kufanya jambo moja..mfano class seven kwa shule..niko tayari kurekebishwa kama nimekosea kutumia hilo neno ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watoto wa uswahilini Dar wanaonaga kama Mlimani City sijui ni mbinguni. Yaani mtu yupo tayari afunge safari kutoka Gongo la Mboto hadi Mlimani City akashangae na kupiga picha wakati mimi natoka tu ghetto kwangu Mlalakua naenda kununua six pack Nakumat kama naenda dukani kwa mangi
 
Ndio maana unaambiwa kuishi Dar tu tayari ni elimu ya form four!

Hadi kuingia Mlimani city kununua bidhaa mule lazima uwe unaconfidence kwanza ya juu!

Watu wanapanda magari temeke wanenda nunua ICE CREAM Mlimani city!

Mlimani city kama ulikuwa hujui chumba kidogo kabisa cha biashara kwa mwezi Mil 14!
 
Back
Top Bottom