Aisee kweli kama si yeye basi ndugu yakehuyo wa kulia anafanana na yule mzee alisemaga BMK atakimbilia msituni sema jina lake limenitoka
Awanishindi mimi
haha, anaitwa tieni,tieni, kwa moyo mmoja, sema ubini wake umenitoka.huyo wa kulia anafanana na yule mzee alisemaga BMK atakimbilia msituni sema jina lake limenitoka
haha, anaitwa tieni,tieni, kwa moyo mmoja, sema ubini wake umenitoka.
m
haha, anaitwa tieni,tieni, kwa moyo mmoja, sema ubini wake umenitoka.
m
Hata kwa kioo sio live nayo ni reflected mkuu......Wanaviona kupitia kioo na hata wakitaka kujiswafi ni majanga
huyo wa kulia anafanana na yule mzee alisemaga BMK atakimbilia msituni sema jina lake limenitoka
aiseee hivi wanafunction kweli down their?
Tumbo kama apple...
watakuwa wajumbe wa kamati kuu ya chama tawala nchini kwao!