miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,106
Inategemea...!!!
nimegoma hapana
Inategemea...!!!
Le keputeni Komba mboga...
Watu na magonjwa yao!
Unajua watu wakisoma haya maneno hapa jf wanaonauzushi mnamo mwaka 2005 nilikua pale mji wa bomba2 kwa masikio yangu rafiki yangu wa karibu kabisa alinishuhudia kua walikua na rafiki wa karibu kabisa wa huyo tieni, wakiwasiliana kwa simu ikawekwa loudspeaker mzee wa tieni alisikika akijisifu kua muda huo alikua akichapa totoz 0713...hivyo hua sishangai akiitwa wa totoz hapa jf.Mi mwenyewe ubini umenitoka kidogo ila huwa ni maarufu km mzee wa totoz.
sio muda wataanza kutembea huku matumbo yao wamepakia kwenye matoroli