Ha ha ha,wanaduu,na mtindo wao kifo cha mende!,tumbo hilo likulalie kifuani kwako,ukitoka hapo Amana inakusuhu...
mshana
Lulu ana mume wako hapo fungekeni acheni uchokoziLulu yuko wp mbona kimya
atakuwa Komba au Wassira chaguo hapohuyo wa kulia anafanana na yule mzee alisemaga BMK atakimbilia msituni sema jina lake limenitoka
ccm wakiona hizi picha mshana atakuwa matataniwatakuwa wajumbe wa kamati kuu ya chama tawala nchini kwao!
aiseee hivi wanafunction kweli down their?
Mtani kweli unataka kujua......???aiseee hivi wanafunction kweli down their?
Mtani kweli unataka kujua......???
Hahahahaaaa uoga mwingine bana..!!??
Tena vijisichana vidogo vidogo vinawapenda kweli kweli. Ni koni tuu inawasumbua mengine sidhani..Huku kajilalia ka mende weye unajilambia koni tuuu
huyo wa kulia anafanana na yule mzee alisemaga BMK atakimbilia msituni sema jina lake limenitoka